demu aliepo online sahivi ni wife material?

jimmy jimble

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
216
Reaction score
216
wakuu,wakuu,naskia mademu wengi wanaokua online mpaka mida hii wanakuaga na stress,lonely au single mana alienabwana hawez kuwa online mpaka mida hii...... nawaona nawaona kina naniu nimewaona mnakula tu ubuyu pm
 
wakuu,wakuu,naskia mademu wengi wanaokua online mpaka mida hii wanakuaga na stress,lonely au single mana alienabwana hawez kuwa online mpaka mida hii...... nawaona nawaona kina naniu nimewaona mnakula tu ubuyu pm
Na je, mwanaume aliyepo Online muda huu kama wewe ni Husband material?
Kama jibu ni ndiyo, basi itaapply the same to the opposite side and vice versa.

Wengine ndo wapo kazini muda huu. Usikariri kila demu aliyepo online ana stress au yupo single.
 
Na je, mwanaume aliyepo Online muda huu kama wewe ni Husband material?
Kama jibu ni ndiyo, basi itaapply the same to the opposite side and vice versa.

Wengine ndo wapo kazini muda huu. Usikariri kila demu aliyepo online ana stress au yupo single.
Huyu bado anapishana na baba katika 'korido' hawezi kuwa anafanya kazi muda huu
 
Wewe uliye online muda huu ni domo zege mixer shoga au hanithi?

Hivi mkuu kwa siku unapost mara ngapi?au ndio uhuru wa kutumia JF?
ww nlijua tu hii itakutoa povu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Na je, mwanaume aliyepo Online muda huu kama wewe ni Husband material?
Kama jibu ni ndiyo, basi itaapply the same to the opposite side and vice versa.

Wengine ndo wapo kazini muda huu. Usikariri kila demu aliyepo online ana stress au yupo single.
haidhuru kwa men
 
Huyu bado anapishana na baba katika 'korido' hawezi kuwa anafanya kazi muda huu
watt haumuez elewa mahustler hatulali sahv kazin namiliki bungalow ww unazungumzia mshua[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
demu nikimuona online sahv hata atume nude pic simkubalii hahah
 
watt haumuez elewa mahustler hatulali sahv kazin namiliki bungalow ww unazungumzia mshua[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bungalow my butt
Mkuu naona unatype ukiwa ndotoni

Sema JF wangeweka maximum posts mtu anazotakiwa apost kwa siku . . .yani wewe ukienda kuny* huko ukirudi unapost,baba akikutuma dukani ukirudi unapost

Dah!
 
Wewe uliye online muda huu ni domo zege mixer shoga au hanithi?

Hivi mkuu kwa siku unapost mara ngapi?au ndio uhuru wa kutumia JF?
Kwani mtoa post ni me?kma me wnywe ndo kma hyu bora nitumike na dildo tu!!!anakalili maisha punga kweli hili!![emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Bungalow my butt
Mkuu naona unatype ukiwa ndotoni

Sema JF wangeweka maximum posts mtu anazotakiwa apost kwa siku . . .yani wewe ukienda kuny* huko ukirudi unapost,baba akikutuma dukani ukirudi unapost

Dah!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwani mtoa post ni me?kma me wnywe ndo kma hyu bora nitumike na dildo tu!!!anakalili maisha punga kweli hili!![emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Atakuwa ni ke ila anajifanya me
Ama lah!ni me ila ana vina saba vya ke
 
wakuu,wakuu,naskia mademu wengi wanaokua online mpaka mida hii wanakuaga na stress,lonely au single mana alienabwana hawez kuwa online mpaka mida hii...... nawaona nawaona kina naniu nimewaona mnakula tu ubuyu pm
Inategemeana unazungumia "mida hii" ukimaanisha hapo ulipo? Au? Fikiria nje ya BOKSI.
 
wazaz wamekula hasarakama binti anajichetua mpaka sahv jf,akipata mimba waende jela LMAO
 
Atakuwa ni ke ila anajifanya me
Ama lah!ni me ila ana vina saba vya ke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tena vimezid hta ke wnywe chaa!!!!cio kwa akili za kuvukia barabara hzo,afu lajichekesha tyu cjui halijapata bwana leo pumbafyuuu sake (in kinyambez voice rip)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…