1 1954 JF-Expert Member Joined Nov 14, 2006 Posts 11,246 Reaction score 13,722 Nov 19, 2018 #41 Brilliant internationary said: Demu wangu Click to expand... Wewe ni Mtanzania halisi...majisifu na majigambo ni jadi yetu...tehtehtehtehteh
Brilliant internationary said: Demu wangu Click to expand... Wewe ni Mtanzania halisi...majisifu na majigambo ni jadi yetu...tehtehtehtehteh
Donnie Charlie JF-Expert Member Joined Sep 16, 2009 Posts 16,908 Reaction score 19,123 Nov 19, 2018 #42 Hivi hakuna mtu wa Azam avute hiyo picha hapa
doup JF-Expert Member Joined Feb 26, 2009 Posts 2,706 Reaction score 2,861 Nov 19, 2018 #43 luckyline said: Sina mzuka na Mpira wa hapa nyumbani na Africa mzima ila Jana sijui kwa nini niliumia kiasi hicho. Click to expand... Bila kujijua ujuwe unapenzi ya dhati. Damu nzito kuliko maji.
luckyline said: Sina mzuka na Mpira wa hapa nyumbani na Africa mzima ila Jana sijui kwa nini niliumia kiasi hicho. Click to expand... Bila kujijua ujuwe unapenzi ya dhati. Damu nzito kuliko maji.
LIKUD JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 18,037 Reaction score 33,681 Nov 20, 2018 Thread starter #44 Gwele said: Huyo Binti Anaitwa Beatrice ni mzaliwa wa Tanzania baba ake akiwa raia wa SA na mama ake akiwa Mtanzania though amezaliwa Tanzania ila familia yake waliamua kuhamia SA kimakazi mwaka 2004 akiwa na miaka 12 Click to expand... Anaitwa Beatrice Nani? Kaka funguka zaidi
Gwele said: Huyo Binti Anaitwa Beatrice ni mzaliwa wa Tanzania baba ake akiwa raia wa SA na mama ake akiwa Mtanzania though amezaliwa Tanzania ila familia yake waliamua kuhamia SA kimakazi mwaka 2004 akiwa na miaka 12 Click to expand... Anaitwa Beatrice Nani? Kaka funguka zaidi
Gwele JF-Expert Member Joined Jun 7, 2016 Posts 2,604 Reaction score 3,319 Nov 20, 2018 #45 LIKUD said: Anaitwa Beatrice Nani? Kaka funguka zaidi Click to expand... Mzee wake tulimfahamu zaidi kama Mr.Lethabo, Last time Beatrice alikuja Tz mwaka juzi na mdogo wao wa kike
LIKUD said: Anaitwa Beatrice Nani? Kaka funguka zaidi Click to expand... Mzee wake tulimfahamu zaidi kama Mr.Lethabo, Last time Beatrice alikuja Tz mwaka juzi na mdogo wao wa kike