Demu ananiomba anilalie zipuni!!

Hapo huwa wanaleta madaftari ya kujisomea menyu?
Mie nataka sehemu ambayo naambiwa kuna supu kuku, wali ng'ombe, ugali mbuzi choma.

Haya ya Marinated chicken breast nodules with butter naan siyataki.

Lunch leo nataka nikupeleke sehemu ya ukweli...Nitakupitia twende zetu Joly...wana yama ya mbuzi ya ukweli.
Jion ndio utakula maziwa ya kuku!!
 
Naombeni mnifundishe neno zuri lakumwambia ili tushuke TINDE nipige mzigo mpaka bujee!!
Maana anazidisha dharau sasa,yani ananiambia mkojo umembana tukifika dom cha kwanza toilet?

mkuu hebu niambie anaupara kichwani??
Kwasababu waliotoka Moshi juzi wanaupara mkuu!
 
Hapo huwa wanaleta madaftari ya kujisomea menyu?
Mie nataka sehemu ambayo naambiwa kuna supu kuku, wali ng'ombe, ugali mbuzi choma.

Haya ya Marinated chicken breast nodules with butter naan siyataki.
hahaah...basi twende zetu koko bichi tukale mihogo na Azam cola...kama nayo huwezi nikupeleke posta kwa mama Koku!!
 
Demu mwenyewe kumbe mjeda na kabila lake ni "mzanaki wa butiama"
 
poa mwana jf

kama anataka mwambie akupe ka kiisilamu.sio kakikrsto kama mweli anataka kukulalia kweli.
 
hahahah...jamaa kanogewa!!
Mi na mke wa mtu mbali mbali kabisa...nikishaona tu pete ya ndoa basi system zote za umeme zinabuma!! Kitu kinasinyaa..

Hayo ndio maneno ya mtu mstaarabu.
 
poa mwana jf

kama anataka mwambie akupe ka kiisilamu.sio kakikrsto kama mweli anataka kukulalia kweli.
Ndio style gani hizo mkuu?
Maana naona kazidiwa na usingizi kweli na mimi huruma imeanza kuniingia!
 
Stori ya kupika hii .. au kaa ni kweli hiyo ngoma yenyee hailipi. Ngoma ingekua inalipa aargghh wala usingepata nguvu ya kuleta umbea JF, ungekuwa bize mbaya..ha haa
 
Ndio style gani hizo mkuu?
Maana naona kazidiwa na usingizi kweli na mimi huruma imeanza kuniingia!

kaka haya mambo bor ungetupa data baadaya kupiga mzigo coz tunadata zote muhimu mda huu upo maeneo ya dodoma unaelekea mwanza na mje wa mtu ndani ya zuberi af mbay zaidi ni mjeda....unauhakika gani mme wake hasomi hizi thread af ndo katoka kumuaga mkewake ubungo...jichunge kaka ukitaka kuwa mwizi uwe na kumbukumbu usije subiriwa mwanza bure n shem
 

dah!yan nimecheka
 

Kama utamkatalia futa ID yako ya Mandieta kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeh!
 

naona umeamua kula vya wngineo.............lakini usichojua ni kwa ujira upi.............lazima utavuna utakachpanda hakuna jingine hapo........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…