Demu wa kuzaa nae nimpe Toyota OPA!

by the way,nikikufanyia UDALALI nikuletee mtoto mmoja safi toka SHIVAS(ni maeneo flani ya uzunguni huku arusha mabinti wa hapo ni wazuri kwa umbo na tabia)inaruhusiwa?mi ujira wangu wa udalali nikipata bodaboda moja tu itatosha!uko tayari niwahi shivas fasta?
 
jamani bado unapambana na Toyota tena kiopa..ungeongelea mjerumani kidogo basi kina Audi,VW na BM.

Kila la kheri lakini kwa utayayempata!!

we BJ,hebu tulia...watakuja wenzako watakushangaa wewe bado unaota magari ya mjeremani wakati wenzako wanashushiwa mahekalu!walishapitaga siku nyingi level ya magari!ukichekwa mi simo
 
Hahahahahaha,mademu wa Arusha vimeo kishenzi mkuu.Nilipataga kidemu kimoja hapo maeneo ya SAKINA ikawa kila siku mizinga na mitoko,mara PICNIC,mara SOMBOLELO,mara SEVEN SEVEN,mara honey nipeleke kesho nairobi,mimba hakashiki nikaamua kukapiga chini,nilikua nakagongeaga hapo majengo sehemu hivi inaitwa CM GUEST HOUSE.
 
we BJ,hebu tulia...watakuja wenzako watakushangaa wewe bado unaota magari ya mjeremani wakati wenzako wanashushiwa mahekalu!walishapitaga siku nyingi level ya magari!ukichekwa mi simo

ha ha..mahekalu yanatakiwa yawe yameshashushwa siku nyingi maana ni muhimu zaidi...nilimjibu mjerumani kwa vile mkuu dudu alizungumzia gari..!!inaelekea viopa vimemchanganya!! he he
 

okeeeeeeeeeeey!nakajua hako kademu,tumekazika juzijuzi tu,kalienda na ule ugonjwa wetu si unaujua?si ulitumia ndomu wakati unatafuta mtoto na yeye?

N.B kama hukutumia kinga usijibu post hii tafadhali!
 
ha ha..mahekalu yanatakiwa yawe yameshashushwa siku nyingi maana ni muhimu zaidi...nilimjibu mjerumani kwa vile mkuu dudu alizungumzia gari..!!inaelekea viopa vimemchanganya!! he he
Hahahahahaha!we kimwana wewe,ebu tulia kwanza,au kama vipi niweke MP maana wenzio washachangamkia nafasi hii.Au nikupe NISSAN FAIRLADY open roof?
Au ile toyota mrs S unaijua.
 
okeeeeeeeeeeey!nakajua hako kademu,tumekazika juzijuzi tu,kalienda na ule ugonjwa wetu si unaujua?si ulitumia ndomu wakati unatafuta mtoto na yeye?

N.B kama hukutumia kinga usijibu post hii tafadhali!
Hahahahahaha.......labda umekafananisha,mbona nimekapigia sasa hivi kamesema kako hapo jogoo kanapata kuku choma?
 
sasa hao wapiga kura wako unaowaandaa utawachagulia wachague chama kipi..33 yrs hujui kwamba kupiga kura ni siri ya mtu..?daaah kweli miaka yako na point uliyotoa havilingani..mpaka leo hujakua..tu?
 
NIMEFUNGUA KATIKA KITABU CHA MAFUMBO KILICHANDIKWA NA MZEE MKIJIJI....KINASEMA toyota opa NI NENO LA KIFICHO LA "HIV/AIDS" s
 

bahati mbaya natalia kapigwa ban,
 
Atakaa na mtoto kwa
miaka 2 huku nikimpa huduma zote zinazo sitahiki,akisha muachisha
namchukua na yeye tunaachana rasmi,ila ruksa kuja kumuona mtoto.
Atakayenizalia mtoto wa kike ntampa offer fulani hivi ya ziada.

hiyo ofa ya ziada itakuwa mkanda wa jeshi
 
bahati mbaya natalia kapigwa ban,
Moja kwa moja huyo sidhani kama atapata nafasi,maana mdau anataka mwanamke mwenye heshima,sasa kama mods wamemtwanga bani it means nidhamu zero!
 
Akipatikana unayemtaka muanzie Angaza kupima afya zenu.
 
Vipi mtu wa kati anahitajika kwenye hili maana kuna kipaji nimekiona sehemu nataka niku-link
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…