hahhaa haya magari ya kutafuta pesa watu wana akili wewe sio opa ikitoka bamba la mbele unawaza umpate wapi dudud jeusi akuagizieUnataka kufungua banda la mkaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahhaa haya magari ya kutafuta pesa watu wana akili wewe sio opa ikitoka bamba la mbele unawaza umpate wapi dudud jeusi akuagizieUnataka kufungua banda la mkaa?
Katika watu wenye akili walio comment hapa wewe upo juu.Ni kweli wanawake wa siku hizi vimeo kishenzi,simu zao theruthi 2/3 zimejaa nur za wanaume alafu kila jina linaanza na kaka,shemeji au mjomba lol!Ila hio plan yako nzuri sana maana wanawake wasasa hivi bora ukusanye watoto tu
We unahangaika kuzaa na nani?KIMA,SOKWE,NGEDERE AU NYANI?funguka mkuu!Mpaka leo kuna wanaume wanahangaikia kuzaa na watu
jamani bado unapambana na Toyota tena kiopa..ungeongelea mjerumani kidogo basi kina Audi,VW na BM.
Kila la kheri lakini kwa utayayempata!!
Unataka kufungua banda la mkaa?
Mantiki ya swali langu la awali ni kwamba, ukishampa mzazi mwenzako USED toyota OPA then what next? Naongelea mambo ya ALIMONY. Mustakabali ukoje?
Kwani unakasoro gani?
Kuoa hapana,mie nataka mtoto tuu,na tayari ninao wengine wa4,but nataka kuwa na idadi kubwa ya wato ila mama zao wawe tofauti pengine kupitia hao watoto naweza pata ninachotegemea kukipata.
Hahaha!Kuishi kwingi kuona mengi, tayari unao 4 different mothers sasa wataka wa nini na ni kipi hiki kinachotafutwa.
Ngoja nimalizane na wadau kwanza kisha ntakucheki.Ukiwa baba wa watoto wanne tayari, kama hutajali naomba tafadhali unieleweshe haya...
- Hao wanawake wanne wengine uliwapata kwa njia gani?
- Hao watoto unaishi nao na wana umri gani?
- Uwezo wako kifedha ni wa kiwango kipi?
- Tokana na statement yako hapo chini, nini hasa unategemea kukipata?
Teh teh teh!unasifa gani ya ziada kimwana?funguka pls.fanya range nije
Una sound kama una ka project fulani na hao watoto...