Demu wa kuzaa nae nimpe Toyota OPA!

Demu wa kuzaa nae nimpe Toyota OPA!

Ila hio plan yako nzuri sana maana wanawake wasasa hivi bora ukusanye watoto tu
Katika watu wenye akili walio comment hapa wewe upo juu.Ni kweli wanawake wa siku hizi vimeo kishenzi,simu zao theruthi 2/3 zimejaa nur za wanaume alafu kila jina linaanza na kaka,shemeji au mjomba lol!
 
Mpaka leo kuna wanaume wanahangaikia kuzaa na watu
 
acha mie ninyamaze sina hata tairi ya gari hongera wewe mwenye benz lol
 
fanya range nije
We Smile, mtu anawazia USED Toyota Opa, unadhani ana uwezo wa Range? Teenagers wana illusions nyingi sana katika maisha. Anatafuta ngono huyu, si watoto!

 
Last edited by a moderator:
We Smile, mtu anawazia USED Toyota Opa, unadhani ana uwezo wa Range? Teenagers wana illusions nyingi sana katika maisha. Anatafuta ngono huyu, si watoto!

ujana enzi ya shida sana..
 
changanya changanya mwishowe CHANGANYIKENI......
ME NAPITA TU
 
Kuoa hapana,mie nataka mtoto tuu,na tayari ninao wengine wa4,but nataka kuwa na idadi kubwa ya wato ila mama zao wawe tofauti pengine kupitia hao watoto naweza pata ninachotegemea kukipata.

Ukiwa baba wa watoto wanne tayari, kama hutajali naomba tafadhali unieleweshe haya...



  1. Hao wanawake wanne wengine uliwapata kwa njia gani?
  2. Hao watoto unaishi nao na wana umri gani?
  3. Uwezo wako kifedha ni wa kiwango kipi?
  4. Tokana na statement yako hapo chini, nini hasa unategemea kukipata?
 
ni upuuzi tu,tuwaheshim wanawake,sio kila dhambi lazima iwe yao,na udhaifu wao isiwe sababu.
 
Kuishi kwingi kuona mengi, tayari unao 4 different mothers sasa wataka wa nini na ni kipi hiki kinachotafutwa.
 
Ukiwa baba wa watoto wanne tayari, kama hutajali naomba tafadhali unieleweshe haya...



  1. Hao wanawake wanne wengine uliwapata kwa njia gani?
  2. Hao watoto unaishi nao na wana umri gani?
  3. Uwezo wako kifedha ni wa kiwango kipi?
  4. Tokana na statement yako hapo chini, nini hasa unategemea kukipata?
Ngoja nimalizane na wadau kwanza kisha ntakucheki.
 
Back
Top Bottom