Demu wa kuzaa nae nimpe Toyota OPA!

Huwa nasemaga id zetu zinaewakilisha tlivyo mfano ndo huu
 

Umeanza uchokozi AshaDii...labda yanatoka mapovu tu sasa atasingiziwaje hapo?
 
Last edited by a moderator:
Huwa nasemaga id zetu zinaewakilisha tlivyo mfano ndo huu
Teh teh teh.......sweet+baby=mtoto mtamu.
Ngoja nikuwekee pm kwanza ili niupate huo utamu.......mie ntakupa verrosa lol!
 
Sinza umekosa kweli? jaribu kona baa. kama vipi karibu Mrina Arusha
 

Kama hamna vya kuposti si heri mkalale!! Ovyo kweli wewe, hivi wanawake tumeshuka bei kiasi cha kununuliwa kwa opa?? kama umeshindwa kujua thamani ya binadamu wenzako si heri ungesema tu unataka akuzalie kuliko kutaja mambo ya opa hapa......kwako wewe ukimpa opa unaona umetoaaaaaaaa cha maana hadi kikomo......, ukweli wanawake mmeshushwa bei karne hii
 
Sinza umekosa kweli? jaribu kona baa. kama vipi karibu Mrina Arusha
Mambo ya mrina tena mkuu,si bora ungesema unga ltd,anyway ebu nichukulie chumba hapo shimbwe nyuma ya golden rose ntapita mwisho wa mwezi lol!
 
Moja kwa moja huyo sidhani
kama atapata nafasi,maana mdau anataka mwanamke mwenye heshima,sasa
kama mods wamemtwanga bani it means nidhamu zero!

angebehave tu,chezeiya kutembea umekaa weye
 
Teh teh teh.......sweet+baby=mtoto mtamu.
Ngoja nikuwekee pm kwanza ili niupate huo utamu.......mie ntakupa verrosa lol!

Hammer ninayomiliki kwa jasho langu inanitosha sana mpenzi.ukitafsri kwa engilish ya std 7 ya saint Abdallah it means that, but ukiinterprate kwa std 3 english ya saint Mary the meaning goes beyond your imagination
 
huyu lazima ni mhaya, hapo alipo hana hata baiskeli, sasa hiyo opa sijui ataitoa wapo....watu wanaoishi kijiji cha kufikirika kule gulio la katereroo utawajua tu.
 
Hammer ninayomiliki kwa jasho langu inanitosha sana mpenzi.ukitafsri kwa engilish ya std 7 ya saint Abdallah it means that, but ukiinterprate kwa std 3 english ya saint Mary the meaning goes beyond your imagination


Mwanamke shuti kujiamini, umenifurahishaje....sio unashushwa shushwa thamani yako nawe unakubali
 
Kwani na wewe ni lazima ku-comment?
Si na wewe kampelekee bwana ako hilo shimo?au leo umekosa wa kutoka nae?
Tena wewe ntakupa mdori wa bajaji ndio saizi yako maana huna nidhamu!
Au umenyang'anywa bwana?
 
Mwanamke shuti kujiamini, umenifurahishaje....sio unashushwa shushwa thamani yako nawe unakubali

Me nawashangaa hawa wanaume wa humu my dear yani mtu akiona ni ke anaimagine anatembea na T11 bad wana mawazo ya ukale nani anayebisha sa hivi wakina dada wengi wako vizuri kiuchumi kuliko wanaume? eti opa,opa?milioni 8?na ikiharibika kama uwezo wako ni opa utaweza kureplace spare?na we verossa umeona tu kwenye picha na wasi*2 kama hata umewahi kumiliki harrier.bora malale kama mlivyoshauriwa
 
huyu lazima ni mhaya, hapo alipo hana hata baiskeli, sasa hiyo opa sijui ataitoa wapo....watu wanaoishi kijiji cha kufikirika kule gulio la katereroo utawajua tu.
Hahahaha!ngoja wahaya waje utawatambua.
 
Hahaha,namiliki BMW X6 mrembo lol!
 
Hahahaha!ngoja wahaya waje utawatambua.
umeona masifa, uwezo wake wote ni kununua opa, lakini anavyojinadi utafikiri sijui nini...hawa ndo wale ukiwakuta bkb wanakwambia nimeshuka na ndege sasaivi toka dsm kumbe siku mbili alikuwa anasafiri na basi la sumri tena nauli alikopa...hahaha. masifa kibao kumbe hamna lolote. kwa taarifa yako, humu ndani wapo watu wengi wana uwezo si wa kununulia mtu opa, ila vx..lakini wamenyamaza kimya tu...we kama umeshindwa kutafuta madem sema watu wakusaidie, usihangaike kujieleza sanaa ati nataka tu kuzaa naye etc....
 
Hammer ninayomiliki kwa jasho langu inanitosha sana mpenzi.ukitafsri kwa engilish ya std 7 ya saint Abdallah it means that, but ukiinterprate kwa std 3 english ya saint Mary the meaning goes beyond your imagination
Hammer?basi sikuwezi lol!
 
Hahaha,namiliki BMW X6 mrembo lol!
sikia sasa, anasema anamiliki BMW x6, nani yanamhusu maisha yake?...hahaha...si ajabu anaishi nyumba za kupanga hapo, ila akiamka asubuhi lazima aulambe utafikiri ofisa fulani hivi, kumbe....siri anaijua vizuri mr pochi na mifuko ya suruali yake kwajinsi mifuko na pochi zinavyokosa pesa...
 
Hahaha,namiliki BMW X6 mrembo lol!

Hahahaa hii aina ya magari unayotaja naanza kuamini kasentensi ka Ubungoubungo kana ukweli ndani yake .haya bwana hongera kwa kumiliki benzi umenikumbusha mbali kweli wakati nikiwa mdogo baba yako akiwa na hayo magari wakati huo ni fogo wa kutisha.we jina fogo ulilikuta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…