CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 933
- Thread starter
-
- #61
Basi nimekupenda kimwana naomba tuwe mwili mmoja!Ndo hivyo usifikiri kila mwanamke njaa,we ukinpenda nisomeshe nikukubali kwa hiyari ya moyo wangu lakini swala la propery au cash kamwe
Ilikua karne ya ngapi hiyo?Hahahaa hii aina ya magari unayotaja naanza kuamini kasentensi ka Ubungoubungo kana ukweli ndani yake .haya bwana hongera kwa kumiliki benzi umenikumbusha mbali kweli wakati nikiwa mdogo baba yako akiwa na hayo magari wakati huo ni fogo wa kutisha.we jina fogo ulilikuta?
Basi nimekupenda kimwana naomba tuwe mwili mmoja!
Miaka ya 84 na 3 ivi karne me cjuiIlikua karne ya ngapi hiyo?
Mtaunganikaje?kwa super glue?haya njoo tuungane.
Miaka ya 84 na 3 ivi karne me cjui
Wewe hutaki gari . . . .????[/QU Hivi, Toyota OPA used ndo gari ya kumhonga mzazi mwenzako kweli? Angehonga daladala iliyosajiliwa ama Fuso ningemuelewa kidogo.
Mtaunganikaje?kwa super glue?
Ulikua na miaka mingapi kipindi hicho?
Mie ngoja niende kwenye siasa nikacheki kama ratiba mpya ya maandamano ya CDM imetoka au lah,kisha ntarudi later!Kama watu wakiwa mwili mja wanaungana kwa super glue no problem tutagundishia tu
Ahaa!ok,now what do u like me to do?Jamani mbona umeuliza sana?me sitaki kubebea mbegu.embu tuongee kitu cha maana ujue sio vizuri namna ulivyoweka tangazo lako?hata Mungu hapendi yani kama vile unamfanya mwanamke jike la mbegu.not good man
Unataka kufungua banda la mkaa?Wewe hutaki gari . . . .????[/QU Hivi, Toyota OPA used ndo gari ya kumhonga mzazi mwenzako kweli? Angehonga daladala iliyosajiliwa ama Fuso ningemuelewa kidogo.
Mungu apishie mbali!Haya wote nawatakia usiku mwema na Dudu jeusi Mungu akuangazie this night uachane na wazo lako uwalee vizuri hao ambao tayari wapo
hahaha,mtoto mtamu bana!gombea ubunge basi ili uwe waziri wao na uwatete vzr.Bye the way wanangu nawapenda sana,na kwa uwezo wa M/mungu watasoma na kuishi safi.Watoto wa3 bado sana,lengo na dhumuni ni 15-17,this is not joking mtoto mtamu,serious aise.
Anyway niwekee ur email kwenye pm then nikuonyeshe mambo yangu...
Chezea DUDU JEUSI wewe!