Demu wa kuzaa nae nimpe Toyota OPA!


huwa tunasemaga kaletwa Mwanza na meli kapelekwa Dar na treni
 
I swear kwa dharau hizi kwam mama zetu Mungu hatakupa mtoto wa kike ukipa rudi hapa ntakupa zawadi ya maana kuliko hiyo opa


unategemea nini kizuri kutoka kwa dudu tena jeusi? definitely ni kila aina ya madudu na uchafu!
 

Ya filauni au Musa??
 


He is pathetic, sick and crazy..... awasiliane na dr jf for emotional evaluation
 
kwa kukusaidia ngoja nimwite Asprin aje kukusaidia.najua ye atakupa hadi picha za wadada ujichagulie mwenye sifa unazozitaka.weeeee Asprin njoo huku umsaidie DUDU JEUSI anataka demu wa kuzaa naye.
 
Last edited by a moderator:
suluba zote hizo kwa kagari hako mshenzi?
gari ni nini hata mi machinga naweza nunua mwenyewe!!!
Suluba gani kwani kimwana?mm si ninapata na wewe unapata au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…