Hii imetokea muda si mrefu baada ya kumwonesha kadi ya ccm nikiwa chumbani.....amenipa somo la kiraia kweli mpaka nimemwelewa..sasa nataka kesho nikaombe uwanachama wa chadema....aisee, kumbe nilikua mburula kiasi hicho cha kutojua tembo na rasimali za hii nchi zinavyoibiwa na ccm, wakati nilikuwa mjumbe wa ccm nikipata hela za mezani tuu( petty money).......kweli hii nchi wasindikizaji wengi,wengine kama walikua kama mimi amkeni, muda wa mapinduzi ndo huu...
Hii imetokea muda si mrefu baada ya kumwonesha kadi ya ccm nikiwa chumbani.....amenipa somo la kiraia kweli mpaka nimemwelewa..sasa nataka kesho nikaombe uwanachama wa chadema....aisee, kumbe nilikua mburula kiasi hicho cha kutojua tembo na rasimali za hii nchi zinavyoibiwa na ccm, wakati nilikuwa mjumbe wa ccm nikipata hela za mezani tuu( petty money).......kweli hii nchi wasindikizaji wengi,wengine kama walikua kama mimi amkeni, muda wa mapinduzi ndo huu...
We ng'ang'ania huko kama hautanyimwa mchezo
Bila shaka. Utakuwa upo kwenye mkoa wenye baridi
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
We ng'ang'ania huko kama hautanyimwa mchezo
Serukamba kama Nkamia.
Haya pitia posho yako kwa Mshumbushi.