Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
vigezo na masharti kuzingatiwa. sio kila mwanamke anateka attention za wanaume..
inawezekana hujachukua kwa mama what you got..
Mbona katika wote hao hakuna hata mmoja alienipitia....
Nakumbuka wakati naenda chuo my Bf alikuwaga na mawazo kama haya halafu tena marafiki zake wakawa wanampa maneno zaidi..eti nikipita block D vidume vimejazana haviniachi ye huko anajifanya ananisubiria..nilimaliza miaka yangu na hakuna alienishika..
Kutulia ukiwa chuo ni ngumu sana...
Kutulia ukiwa chuo ni ngumu sana...
Kutulia ukiwa chuo ni ngumu sana...
Mbona katika wote hao hakuna hata mmoja alienipitia....
Nakumbuka wakati naenda chuo my Bf alikuwaga na mawazo kama haya halafu tena marafiki zake wakawa wanampa maneno zaidi..eti nikipita block D vidume vimejazana haviniachi ye huko anajifanya ananisubiria..nilimaliza miaka yangu na hakuna alienishika..
Au arudi wakasome wote tuFungua chuo chako asome salama, kwingine sio.
Au arudi wakasome wote tu
wewe a cha kukariri maisha tabia na msimamo wake ndo kila kitu. pia inategemea jinsi ulivyojenga upendo na uaminifu kwako ili aweze kuona wewe ni zaidi ya wengine. kama hueleweki eleweki alishakuonaa humjali anakukamaya na michepuko kwisha habari yako. jitahidi uwe na mawasiliano ya karibu na ukipata nauli nenda umtembelee
KAENDA CHUO CHA MADRASA....πππ
Ndo mnavyojidanganyaaa eenh? Msimamo tu wa mtu, na akitaka usalama basi ampe uhuru wake, amkumbushe jinsi anavyompenda na kumuamini....
la sivyo akijifanya anajua sana kumchunga chunga, ye ndo anajua ratiba kuliko huyo msomaji mwenyewe.....ata.tomb.ewa mpaka na muuza matundaa....!
lekcha.....
bodaboda.....
mjeda....
polisi....
muuza chipsi.....
muuza vibodi.....
muuza ulembo....
mmiliki hostel....
brazameni wa chuo....
WOTE HAO WAKIMKOSA NJOO KWANGU.......
lekcha.....
bodaboda.....
mjeda....
polisi....
muuza chipsi.....
muuza vibodi.....
muuza ulembo....
mmiliki hostel....
brazameni wa chuo....
WOTE HAO WAKIMKOSA NJOO KWANGU.......
Siku zote inategemea na akili za mtu na jinsi gani anajithamini