Demu wangu kaenda chuo!


I wish she behaves like U did.. Congrats madam!!
 
Duh katafute mwingine kama ulifikiri upo mwenyewe sahau mkuu!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
na kwel yawezekana mbil haikai ,,sa atamtokea nani wakati reception anazidiwa na wasira ,,,
 
akikutana na wash.enzi kama hawa huna mtu tena hapo!!!

 
Last edited by a moderator:
mbona chuoni kuna wadada wanajiheshimu sana tena hawana tamaa za kijinga jinga mimi baadhi yao nimewaona wanajiheshim sana!!!
kugongwa ni tabia ya mtu hata isingekuwa chuo uraiani pia kubaya!!! cha kufanya kuwa makini unapokutana naye tu!!!

Sawa mkuu ahsante for couraging word.. BT kuwa makini napokutana naye manake nn sijakupata!!
 
Huo ndo ushauri, kuna mdada alikuwa chuo, mume kaona haelewi elewi na yeye akaenda chuo kile kile kupiga masters.....

Duh mapenz itumwe!! Mkuu sasa niache kujenga na kutimiza mipango ya maisha tena, hapo kuna ka ukakasi kidogo.. By TEH TEH hadi nimecheka!!
 
nenda nae, na wewe kasome upya. maana huna cha kufanya unakuja kuuliza vitu vya kitoto.

Hee mkuu hivi ni vitu vya kawaida kuwa na waswas navyo na kuomba ushauri na mawazo yenu.. Vya kitoto, duh.. Kweli dharau ipo pia humu!!
 
Mkuu we si umesema umepitia chuo? Wakati uko chuo hukuona akina dada wanaojiheshimu? Ama tabia yako ni mbaya atakogwa tu hata asipoenda chuo. Kama hamuaminiani achaneni
 
De.mu wako mzuri? Ana vigezo vya kuitwa msichana mrembo?
 
Mmmmh ulimkuta bikira? Mchanga wa bahari hauachi unyoyo ndugu.
 
akikutana na wash.enzi kama hawa huna mtu tena hapo!!!


Lol! Ama kweli achilia mbali kuwa na demu, kumbe kuwa na binti ni jambo la hatari hivi??
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…