Baba Wille
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 548
- 551
- Thread starter
- #41
Mbona katika wote hao hakuna hata mmoja alienipitia....
Nakumbuka wakati naenda chuo my Bf alikuwaga na mawazo kama haya halafu tena marafiki zake wakawa wanampa maneno zaidi..eti nikipita block D vidume vimejazana haviniachi ye huko anajifanya ananisubiria..nilimaliza miaka yangu na hakuna alienishika..
I wish she behaves like U did.. Congrats madam!!