Demu wangu kaniibia buku 5

Nelson nely

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
4,251
Reaction score
2,869
Hivi ni njaa au?sijamuona kama wiki 2 hivi nilikuwa safarini,jana nafika tu dodoma nikadaka tax breki ya kwanza kwake,nikarudishiwa buku 5 na dereva tax,nikajua ndo kianzio cha asubuhi ninapoenda kwenye mihangaiko yangu,nimelala kwake,naamka asubuhi siioni!! au panya wameiba?sijamuuliza.
 
ameiba au amechukua? mwanaume mzima unakuja kulalamika humu eti umeibiwa buku 5! majanga! chumba atafute yeye, kodi alipe mwenyewe, kitanda anunue mwenyewe godoro na mashuka kanunua mwenyewe wewe unapeleka map.........bu yako tu na ka elfu 5 mfukoni! ila sikulaumu sana inawezekana wewe si mwanaume ila ni mtoto wa kiume. elfu tano unaanzisha uzi hapa! nimesikitika sana ungekuwa karibu ningekuzaba kofi
 

Harudii tena,safi sana miss wa kinyaru,,
 
Last edited by a moderator:
Hiyo buku 5 ni hela ya pango uliyokwepa kwenda gest,ulifikiri umelala bure? Hakuna vya bure hapa duniani.
 
we nawe unatia aibu...unaibiwa buku tano unalia?? lol !! km umhongi unategemea ale nini, avae nini, msichana anahitaji urembo anunue na nini?

Usijitie aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…