ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
-
- #41
Unamaanisha tunazidi kuwa wajinga kila kunapokuchaKuku wa kizungu hatari sana kwa afya na akili zetu.
"Stand for the truth always stand alone"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunywa balimi ndogo nakuja kulipa mkuuThey are plenty out there,why akusumbue,wewe mtoto wa kiume mwanamke ndo anatakiwa akubembeleze na sio wewe umbembeleze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka Magufuli ameingia michongo yote imekatikaKwani siku hizi Lumumba hamlipwi?
Naomba msamaha mbele ya tume ya wanaume.suala Hilo halitajirudia kwa kuwa nilikuwa sijuiUmeniangusha sana mkuu yaani umeombwa hela huna na bado umeomba msamaha wa kutokuwa nayo,?
Hakika nisipokuona mbinguni nitajua wamekuonea.
CC Zero IQ
Wote nikiwaomba jibu lao moja TU..Ata rafiki wa kukuazima 10,000 pia huna?
Wakuu samahani kwa kuwasumbua.demu wangu nilikuwa nimemkosea kidogo Leo mchana alitaka nimtumie 10000 na Mimi sikuwa nayo/Sina. Sasa nikawa nampigia simu nimuombe msamaha.akawa hapokei akaja akapokea Mara Moja akaniambia "msenge wewe"halafu akakata simu..Sasa naombeni mnishauri mwanamke Akikwambia kauli kama hiyo unaichukuliaje? anamaanisha Nini?hizi dharau na zenyewe mnataka tuendelee nazo kuvumilia mahusianoni?me namwacha tushashindwana tabia.
Msamaha wako umepita pasi na shakaNaomba msamaha mbele ya tume ya wanaume.suala Hilo halitajirudia kwa kuwa nilikuwa sijui
Ana bahati TU Yuko mbali kidogo tutaonana naye kesho ,Sasa na wasiwasi hasira itakuwa imeisha..sijui Kama kwa kesho nitakuwa na uthubutu wa kumtia makofiMkuu acha uvulana unatukanwa halafu unakuja kulalamika jf.
Mpe makofi ya kutosha!
Sasa hapo nahisi point kubwa ni kwenye mahitaji yakeMpaka mwanamke anakutukana jua kuna sababu nyingi nyuma yake, kuanzia kwenye sita kwa sita hadi mahitaji yake kama mwanaume
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama unayajua kwa nn hukumtukana demu wako aliyekuita hivyo?.Acha mikwara mbuziAfu braza tuheshimiane ID Hizi sio nafasi ya kutukanana . sio kwamba sijui matusi
Nitumie namba yake nimrushie hiyo 10 halafu mwambie umetuma kupitia wakalaNaunga mkonyo hoja...Ila ni mzuri SI masihara
Unamaanisha tunazidi kuwa wajinga kila kunapokucha
Dah..vitu vingine wala siyo vya kuuliza JF...Wakuu samahani kwa kuwasumbua.demu wangu nilikuwa nimemkosea kidogo Leo mchana alitaka nimtumie 10000 na Mimi sikuwa nayo/Sina. Sasa nikawa nampigia simu nimuombe msamaha.akawa hapokei akaja akapokea Mara Moja akaniambia "msenge wewe"halafu akakata simu..Sasa naombeni mnishauri mwanamke Akikwambia kauli kama hiyo unaichukuliaje? anamaanisha Nini?hizi dharau na zenyewe mnataka tuendelee nazo kuvumilia mahusianoni?me namwacha tushashindwana tabia.
Mi sijui amemaanisha nini, labda msenge ni mtu asie na 10,000.Wakuu samahani kwa kuwasumbua.demu wangu nilikuwa nimemkosea kidogo Leo mchana alitaka nimtumie 10000 na Mimi sikuwa nayo/Sina. Sasa nikawa nampigia simu nimuombe msamaha.akawa hapokei akaja akapokea Mara Moja akaniambia "msenge wewe"halafu akakata simu..Sasa naombeni mnishauri mwanamke Akikwambia kauli kama hiyo unaichukuliaje? anamaanisha Nini?hizi dharau na zenyewe mnataka tuendelee nazo kuvumilia mahusianoni?me namwacha tushashindwana tabia.
ππππUnakosa 10000? Kweli wewe mseng*.
hahah mkuu nimcheka kinoma achana nae yupo kwa faida uyoWakuu samahani kwa kuwasumbua.demu wangu nilikuwa nimemkosea kidogo Leo mchana alitaka nimtumie 10000 na Mimi sikuwa nayo/Sina. Sasa nikawa nampigia simu nimuombe msamaha.akawa hapokei akaja akapokea Mara Moja akaniambia "msenge wewe"halafu akakata simu..Sasa naombeni mnishauri mwanamke Akikwambia kauli kama hiyo unaichukuliaje? anamaanisha Nini?hizi dharau na zenyewe mnataka tuendelee nazo kuvumilia mahusianoni?me namwacha tushashindwana tabia.
πππππππ msenge balidiUnakosa 10000? Kweli wewe mseng*.