Demu wangu kanitukana

Demu wangu kanitukana

Umeniangusha sana mkuu yaani umeombwa hela huna na bado umeomba msamaha wa kutokuwa nayo,?

Hakika nisipokuona mbinguni nitajua wamekuonea.

CC Zero IQ
Naomba msamaha mbele ya tume ya wanaume.suala Hilo halitajirudia kwa kuwa nilikuwa sijui
 
Wakuu samahani kwa kuwasumbua.demu wangu nilikuwa nimemkosea kidogo Leo mchana alitaka nimtumie 10000 na Mimi sikuwa nayo/Sina. Sasa nikawa nampigia simu nimuombe msamaha.akawa hapokei akaja akapokea Mara Moja akaniambia "msenge wewe"halafu akakata simu..Sasa naombeni mnishauri mwanamke Akikwambia kauli kama hiyo unaichukuliaje? anamaanisha Nini?hizi dharau na zenyewe mnataka tuendelee nazo kuvumilia mahusianoni?me namwacha tushashindwana tabia.

Mpaka mwanamke anakutukana jua kuna sababu nyingi nyuma yake, kuanzia kwenye sita kwa sita hadi mahitaji yake kama mwanaume


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu acha uvulana unatukanwa halafu unakuja kulalamika jf.
Mpe makofi ya kutosha!
Ana bahati TU Yuko mbali kidogo tutaonana naye kesho ,Sasa na wasiwasi hasira itakuwa imeisha..sijui Kama kwa kesho nitakuwa na uthubutu wa kumtia makofi
 
Mpaka mwanamke anakutukana jua kuna sababu nyingi nyuma yake, kuanzia kwenye sita kwa sita hadi mahitaji yake kama mwanaume


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa hapo nahisi point kubwa ni kwenye mahitaji yake
 
Wakuu samahani kwa kuwasumbua.demu wangu nilikuwa nimemkosea kidogo Leo mchana alitaka nimtumie 10000 na Mimi sikuwa nayo/Sina. Sasa nikawa nampigia simu nimuombe msamaha.akawa hapokei akaja akapokea Mara Moja akaniambia "msenge wewe"halafu akakata simu..Sasa naombeni mnishauri mwanamke Akikwambia kauli kama hiyo unaichukuliaje? anamaanisha Nini?hizi dharau na zenyewe mnataka tuendelee nazo kuvumilia mahusianoni?me namwacha tushashindwana tabia.
Dah..vitu vingine wala siyo vya kuuliza JF...
Kama vipi tupia namba watu watume hiyo buku 10 kwa niaba yako...
Hii ni kwa mujibu wa Oxford

"msenge | Ufafanuzi katika Kiswahili - Oxford Living Dictionaries" msenge | Ufafanuzi katika Kiswahili - Oxford Living Dictionaries

Sent using Beretta ARX 160
 
Wakuu samahani kwa kuwasumbua.demu wangu nilikuwa nimemkosea kidogo Leo mchana alitaka nimtumie 10000 na Mimi sikuwa nayo/Sina. Sasa nikawa nampigia simu nimuombe msamaha.akawa hapokei akaja akapokea Mara Moja akaniambia "msenge wewe"halafu akakata simu..Sasa naombeni mnishauri mwanamke Akikwambia kauli kama hiyo unaichukuliaje? anamaanisha Nini?hizi dharau na zenyewe mnataka tuendelee nazo kuvumilia mahusianoni?me namwacha tushashindwana tabia.
Mi sijui amemaanisha nini, labda msenge ni mtu asie na 10,000.
 
Wakuu samahani kwa kuwasumbua.demu wangu nilikuwa nimemkosea kidogo Leo mchana alitaka nimtumie 10000 na Mimi sikuwa nayo/Sina. Sasa nikawa nampigia simu nimuombe msamaha.akawa hapokei akaja akapokea Mara Moja akaniambia "msenge wewe"halafu akakata simu..Sasa naombeni mnishauri mwanamke Akikwambia kauli kama hiyo unaichukuliaje? anamaanisha Nini?hizi dharau na zenyewe mnataka tuendelee nazo kuvumilia mahusianoni?me namwacha tushashindwana tabia.
hahah mkuu nimcheka kinoma achana nae yupo kwa faida uyo
 
Back
Top Bottom