Demu wangu kanitukana

Uache useng.e wa kuomba msamaha kwa kosa ambalo siyo lako?ndio maana kakuita hivyo kwa sababu anakuona mseng.e kwa usenge usenge wako unaofanya..msenge kweli wewe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ basi baba inatosha baba!
 
Yani unaruhusuje ngedere akutukane halafu uombe msamaha wakati yeye aliyekutusi ndiye aliyestahili kuomba msamahaha

Sent using unknown device
 
Nipe nambake nikurekebishie atanyooka tu tena atakuita baba

Sichenji buku kwa njaa ya siku moja
 
Pole sana...

Ila unaonekana mzembe mzembe sana, tokea lini mtu akaomba msamaha kwa kukosa pesa, ndiyo maana anakutukana...


Cc: mahondaw
 

Anamaanisha hakuheshimu hata, kidogo, pesa yako ndio dili, bado unauliza swali ufanye nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…