Demu ya Kenya vs demu ya Tanzania

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Eti choko linataka lipumuliwe πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona unajihami?
Nani kakuuliza unafanya kazi wapi??
Wewe peleka hicho kijambio huko kisumu sijui kisimu! Hakuna anayejali coz kuuza hicho unachouza nayo kwako ni biashara as long as mahakama yenu inawatambua machoko sio shida kwako!

Nafikiri njaa imewaharibu vibaya πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa hivi unaota eti umepanda ndege πŸ˜‚
Wakati siku nzima hujala πŸ˜‚
Wewe sema umepata basha kakulipia teksi na si ndege! πŸ˜‚πŸ˜‚
Wahisha hiyo washeri yako haraka upate kula πŸ˜‚πŸ˜‚
Pia kuanzisha Mada Kama hizi zisizo na kichwa wala miguu muache /uache (ushauri tu)
Pia nashukuru sana kwa kuni keep busy ..

NJAA IKIKUZIDIA NiSHTUE!
NIKUSAIDIE HATA BUKU UKALE
Narudia tena asante kwa kuni keep busy
Ukweli nilokwambia ufanyie kazi utaweza kuepukana na njaa inayokukabili!

LA mwisho hii ni forum ya hapa Tz so unapoanza just diss vitu visivyo na kichwa wala miguu halafu ukiambiwa unakuwa mkali (nafikiri ni njaa imetingisha akili)
Uache au useme wazi una shida gani usaidiwe!
NAKUOMBEA KESHO UPATE RIDHKI YAKO (hata ukishinda njaa Kama Leo na juzi) Shukuru MUNGU
MTAVUKA KWENYE HILI LA NJAA LINALOPELEKEA KUWAPA UTINDIO WA UBONGO NA HATA (infeority complex)

KUDOS
 
Mzuri wa kwanza wa Kenya alikuwa Prof. Wangari RIP na mke wa Rais Mstaafu RIP ila tusidanganye wote hawa walikuwa wanavaa wig.
 
Safaricom ni mnyama gani au ndio komora jina lake jingine?? [emoji23]

Anyway yule broiler wenu Vera sidika si alisema mahari yake bil 10??[emoji23]
Akashusha hadi bil 5!
Kaolewa? [emoji23]

Kama bado.
Basi akishusha bei kama ya sigara uni tagg!
We endelea kungoja huyo hawezi date Tanzanian hata na madawa,ana date mkenya mwenzake
 
Haha O.G wa wapi huyu ni msee tu fukanu confused na life acha kumpea cheo
 
Safaricom ni mnyama gani au ndio komora jina lake jingine?? [emoji23]

Anyway yule broiler wenu Vera sidika si alisema mahari yake bil 10??[emoji23]
Akashusha hadi bil 5!
Kaolewa? [emoji23]

Kama bado.
Basi akishusha bei kama ya sigara uni tagg!
Jifanye jeuri na hata chakula unakula ni made in kenya haha
 
mnabishana nini wekeni picha

Tuone hao madem mnao waema ,mm najua madem wabaya ndio wengi wasomi hebu anza na NAIBU SPIKA WETU ONGOZE WENGINE

Ila wakenya kwa madem sio utani wala sio kama nawachukia madem wazuri kenya hakuna yaani hakuna uzuri nimeishi Mombasa na,kericho yaani majirani kwawasichana hilo mmenyiwa wala sio uwongo,
 
Mademu wa Kenya sio wazuri sana ila ni watafutaji na hilo kwa dunia ya sasa ndio muhimu mademu wa bongo vilaza sana na mpa credit mtoa mada mbadilike Dada zetu
Siku zote kama huna mvuto ww pambana tu nani atakulea kam sura kama ya Moi,
chukua mafano wa wema au huyo UDA japo kafeki sana,,tangai wakiwa 18 mpaka sasa nikipi chamaana kinawaingizia hela kama sio wanaume tu

Sasa wewe mwenznugu unasura kama konono iga ufe
 
Unaingilia madem sana hahaha[emoji1] ati sura ya moi[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…