Demu ya Kenya vs demu ya Tanzania

Me siwaelewi hata kidogo mnaongelea nini hasa kama hata picha za reference hamuweki.... Acheni ujinga
wew tunazungumzia huku mtaani achana na celebrities, ukikatiza mitaa ya Kenya unaweza kukimbia utasema upo msituni yaani Nyani si Nyani,Ngedere si Ngedere [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wadada wa kenya awana mvuton na ukikuta mwenye Mvuto basi ana roho mbaya na kajaa kisirani kama yule Amina wa Kiba.


Sent using Unknown device
 
Wakenya bwana yan mnadhani mnaweza pambana na mademu wa bongo ? wanawazid ujanja mbali kabisa aisee yan hamwezi kupambana nao sababu hakuna watu midomo zege kama mikenya sijui ikoje, ndio mana wanawake zenu wazuri wazuri wanagongwa na kina chibu and company.....


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
lathimo...we acha2..we nenda kagera ukajionee watu wanavyoishi...
Unawajua wahangaza ama wanyambo wewe au umeishia bukoba mjini [emoji16][emoji16][emoji16]

Wahaya wana shape za kike, miguu na mahaga. Af wewe bado hujapata muhaya wa kukupa vitu adimu maana utahamia kemondo kabisaa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee jamaa huendi mbinguni kwamba ngumu nyeusi kama tazara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
heheeee...huez nidangayw mm..eti nimeishia bukoba mjini...mwanzo hko kagera ndio balaa...manake wanakaa km machizi fresh
 
heheeee...huez nidangayw mm..eti nimeishia bukoba mjini...mwanzo hko kagera ndio balaa...manake wanakaa km machizi fresh
 
Nilikuwa na kamchepuko nilipo kuwa Kenya jamaa akawa kaniganda kama kupe niludi nae Tz ilibidi nimkimbie nilifuta namba na brock juu.
Hahaha inaonesha upo vizuri basi, hadi chalii ya mungiki ikakuganda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…