Dena Amsi asema "Mimi na Mr Rocky sasa basi"

Dena Amsi asema "Mimi na Mr Rocky sasa basi"

Baba V mbona unazunguuka sana mara ubungo mara mbezi mara kimara mara masaki
Tulia sehem moja uongee
Kwa taarifa yako wakati uko jela kuna ndoa imefungwa hapa kati ya Mr Rocky na Mamndenyi na kwa sasa tuko honeymoon na my darling wangu Mamndenyi so hayo ya Dena Amsi yalishapitwa na wakati
Yeye Dena Amsi kwa sasa kwa taarifa nilizo nazo yuko na Erickb52 na kwa habari zilizopo ni kuwa Erickb52 kahamia kabisa kwa Dena Amsi analelewa
Hivyo napenda kuutangazia umma kuwa kwa sasa niko kwenye ndoa na Mamndenyi na tuko honeymoon kwenye visiwa ambapo hapa tunasikia sauti za maji ya bahari tuu na ndege wanaoimba kwa sauti nzuri na hapa pembeni kuna mvinyo laini sana

My darling Mamndenyi hebu watuache zima na hizo simu na computer kabisa sitaki email wala mawasiliano yoyote achana na hawa akina Baba V wanadeep deep hapa

Copy kwa Vin Diesel, Mungi, Erickb52, Nicas Mtei. Ruhazwe JR
Mr Rocky
nawaombea maisha mema ila ...........
 
Last edited by a moderator:
Slave si unamjua Vin Diesel alivyo mkuu yule ni mharibifu wa hali ya juu

Siwezi mkuu nitajitahidi aise
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wadau, leo asubuhi nimepata ujumbe kutoka kwa mdau Dena Amsi akinipa taarifa kuwa ameamua kuachana na Mr Rocky kutokana na tabia za Mr Rocky za kubeba beba wanawake kumchosha. Sehemu ya ujumbe huo ilisema hivi, Nanukuu "Mwenyekiti nimefikia hatua ya kuachana na mume wangu Mr Rocky baada ya kumvumilia kwa muda mrefu nikidhani kuwa angebadilika lakini nimegundua kuwa tabia ni kama ngozi huwezi kuibadili, hivyo nimeamua kujiweka pembeni aendelee na mambo yake kwa uhuru". Mwisho wa kunukuu, Kwa mujibu wa ujumbe huo ni kuwa hadi sasa Dena Amsi amekata kamba kwa Mr Rocky. Juhudi zangu kumtafuta Mr Rocky ili aelezee jambo hili zimegonga mwamba baada ya simu yake kuita muda wote bila majibu na baadae ikapokelewa na Mamndenyi ambaye baada ya kumwambia kuwa nilitaka kuongea na Mr Rocky kuhusu habari yake na Dena Amsi alinijibu kuwa Mr Rocky yuko nje ya nchi kwa mapumziko afu akasonya na kukata simu. Nimeamua kuileta hapa ili Mr Rocky aje alizungumzie hili.

Copy: Arushaone Nicas Mtei, Sefeti Erickb52, Mungi, Filipo et al.
Wasalaam Baba V.
Aiseee...!
Inasikitisha sana aisee.
Tumepoteza rafiki yetu, dada yetu kipenzi Dena. Imeniuma sana...hasa nikikumbuka maisha yetu ya chitchat yalivyokuwa.
Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani.

cc Amyner Baba V Mr Rocky Arushaone BADILI TABIA sweetlady Preta Chocs
 
Aiseee...!
Inasikitisha sana aisee.
Tumepoteza rafiki yetu, dada yetu kipenzi Dena. Imeniuma sana...hasa nikikumbuka maisha yetu ya chitchat yalivyokuwa.
Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani.

cc Amyner Baba V Mr Rocky Arushaone BADILI TABIA sweetlady Preta Chocs

Mkuu Erickb52 tumempoteza kweli mtu wetu wa karibu na alikuwa wa karibu kweli
One time niliongea nae akiwa anatoka Nairobi anapita Arusha kwenda Dar na maongezi yalikuwa ya utani na kukumbushia mengi ambayo tulikuwa tutananiana chiut chat na MMU na misimamo yake kiujumla na alivyokuwa analiona jukwaa la MMU linavyokwenda
Tutakukumbuka daima Dena Amsi ni njia yetu sote na sisi pia itafika muda wetu tutaungana na wewe katika safari hii
Pumzika kwa amani na Mwanga wa Milele umpe Eee Mwenyezi Mungu.

cc kiwatengu; Watu8; AshaDii, Baba V Arushaone, miss chagga Preta
 
Back
Top Bottom