Naona nazeeka sasa..watu wanaoana wanaachana wanarudiana sina khabari?
We Arushaone kang'ombe hakazeeki maini bana bado vitoto vinamfuata vinataka ukaguziWewe m-baba shkamoo! Leo ndo umeamini kuwa ushazeeka eeh? Waulize kina Lily Flower, Arabela Mwalimu na KOKUTONA wakwambie ulivyozeeka!!!
elelo tujage ng'wa Lady doctor dukalale kwenhe.
what... Olehaya kinehe zogo alone.... U'l nisanga on mwabed waiting for u ngoshi wane to be......!
Ninage malove like minze nijifeel like naliho mwaparadise
yap ! yap! nakuaminia challa wangu ila inabidi ukahasiwe kwanza au sio ?
Hee! Uko kwa bed wamngoja aje akupe ==>?
Kwaheri!!
Siamini macho yangu kama umerithishwa tabia za kimswati na Arusha one na Asprin . Au kuna mtu kaiba password yako?Zion Daughter nini tena binamu yangu au unamshangaaa Bishanga anavyodaka juu kwa juu
Siamini macho yangu kama umerithishwa tabia za kimswati na Arusha one na Asprin . Au kuna mtu kaiba password yako?
what... Olehaya kinehe zogo alone.... U'l nisanga on mwabed waiting for u ngoshi wane to be......!
Ninage malove like minze nijifeel like naliho mwaparadise
Slave mbona umeanza kunena kwa lugha aisenashikaga ng'wanike ninhage amabhononu.
Habari ya uzima wapendwa....mmenitaja mpaka nimefufuka.....
Zion Daughter hakuna aliyeiba password yangu bana ni mimi mwenyewe kwa ridhaa yangu nimeamua
Siwezi fikia tabia za mswati Arushaone au Asprin aise
Vin Diesel umekuja aise
Mamndenyi yuko single now hebu jitokeze umchukue mke wako bana anateseka sana kuwa single
si umeniacha
nani kasema anataka mwanaume mwingine
mimi bado niko eda najipaka machicha ya nazi na majivu
hadi nipate ngozi mpya.
Umemuona Vin Diesel amekuja tuu baada ya kusikia umeachwa anaweza akarudisha majeshi ukajikuta una ndoa
si umeniacha
nani kasema anataka mwanaume mwingine
mimi bado niko eda najipaka machicha ya nazi na majivu
hadi nipate ngozi mpya.
Umemuona Vin Diesel amekuja tuu baada ya kusikia umeachwa anaweza akarudisha majeshi ukajikuta una ndoa