Dena Amsi na Mr Rocky

sosoliso namshangaa tu Mr Rocky anavyohaha kunigawa kwa wanaume wenzie
wa kwangu nitampata mie mwenyewe. Mr Rocky na jina langu sitaki tena uliandike humu
katulie kwa huyo mkeo mi niache na zangu.

nikimaliza eda najua mwenyewe mikono mizuri ya kwenda

yaani Mr Rocky unamfanya Mamndenyi kama ndo mkirimu wageni hapa.. Lol..! Kila kipanga apitia kwake mtamuua mtoto wa watu eeh..
 
Last edited by a moderator:

Ninaamini Mr Rocky umeona ombi la kisheria toka kwa Mamndenyi kwamba usilitaje jina lake tena hapa.. Ukithubutu kuvunja ombi hilo la kisheria hatua kali zitachukuliwa dhidi yako..

Hapa itabidi upate msaada wa kisheria toka Ruttashobolwa ikiwa hatatii..
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

babe sosoliso nakuchabo tu hapa mie..........ntaenda kuvuruga faya......ohooooooooo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…