Dena Amsi na Mr Rocky

Dena Amsi na Mr Rocky

sosoliso namshangaa tu Mr Rocky anavyohaha kunigawa kwa wanaume wenzie
wa kwangu nitampata mie mwenyewe. Mr Rocky na jina langu sitaki tena uliandike humu
katulie kwa huyo mkeo mi niache na zangu.

nikimaliza eda najua mwenyewe mikono mizuri ya kwenda

yaani Mr Rocky unamfanya Mamndenyi kama ndo mkirimu wageni hapa.. Lol..! Kila kipanga apitia kwake mtamuua mtoto wa watu eeh..
 
Last edited by a moderator:
sosoliso namshangaa tu Mr Rocky anavyohaha kunigawa kwa wanaume wenzie
wa kwangu nitampata mie mwenyewe. Mr Rocky na jina langu sitaki tena uliandike humu
katulie kwa huyo mkeo mi niache na zangu.

nikimaliza eda najua mwenyewe mikono mizuri ya kwenda

Ninaamini Mr Rocky umeona ombi la kisheria toka kwa Mamndenyi kwamba usilitaje jina lake tena hapa.. Ukithubutu kuvunja ombi hilo la kisheria hatua kali zitachukuliwa dhidi yako..

Hapa itabidi upate msaada wa kisheria toka Ruttashobolwa ikiwa hatatii..
 
Last edited by a moderator:
Paloma anatikisa tu kiberiti !!! heee sosoliso hutaniwi?.......... paloam ameolewa na wewe tu sosoliso and will remain married until death do you two apart!!!

cc Baba V

soso.jpg

Utani gani huo babe Paloma..? Utaniua ujue.. ona sasa mpaka saudari kanifotoa wakati nimepagawa..
 
Last edited by a moderator:
Ninaamini Mr Rocky umeona ombi la kisheria toka kwa Mamndenyi kwamba usilitaje jina lake tena hapa.. Ukithubutu kuvunja ombi hilo la kisheria hatua kali zitachukuliwa dhidi yako..

Hapa itabidi upate msaada wa kisheria toka Ruttashobolwa ikiwa hatatii..

babe sosoliso nakuchabo tu hapa mie..........ntaenda kuvuruga faya......ohooooooooo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom