Huyu bibie nadhani hanijui....inabidi apate salamu toka kwa Evelyn Salt...
Halafu Vin Diesel nataka rushwa hapo sio napiga debe bure hapa au nitakugeuzia kibao nianze kumwaga sifa zako chafu
Kwa kifupi naona sosoliso kaona pengo ila kaamua kuliita mwanya.....
Mkuu....unataka rushwa hata kwa ndugu yako damu damu?
Maza akisikia atasikitika sana....
Hapa bora nikuambie wazi Vin Diesel anakufaa ametoka machimbo ana fweza kama tajiri Bishanga yaani yeye anamwaga tuu
Arushaone mchovu hela yake ya manati inatoka kwa budget
Slave bado kula kulala hata bei ya chumba cha kupanga hajui bado denti wa mlimani primary skuli
Huyu bibie nadhani hanijui....inabidi apate salamu toka kwa Evelyn Salt...
Halafu Vin Diesel nataka rushwa hapo sio napiga debe bure hapa au nitakugeuzia kibao nianze kumwaga sifa zako chafu
Mr Rocky... Vin Diesel hana hela za msimu kweli? Maana me sipendagi shida, si unanijua mwenyewe!
sasa uaminifu kwako umepungua
Hela yake sio ya msimu bana ni hela ya kumwagika maisha yake yote na nakuhakikishia Lady doctor hutajuta kuwa na Vin Diesel
Hiyo ya rushwa bana ni kwa ajili ya kusurf net si unajua hapa natumia pesa lazima anilipe bana sio rushwa ya kukupigia debe
ngoja nimtest kama ataweza kushika pembe asije akaning'inia kama Slave
Lady doctor yeye ni pedeshee bana lazima atupe pesa wadogo zake za kuishi mjini au unataka nife njaa mwenzio
Hela yake sio ya msimu bana ni hela ya kumwagika maisha yake yote na nakuhakikishia Lady doctor hutajuta kuwa na Vin Diesel
Hiyo ya rushwa bana ni kwa ajili ya kusurf net si unajua hapa natumia pesa lazima anilipe bana sio rushwa ya kukupigia debe
hahahaa.... Basi nitajie na vile vitabia vyake vya chini ya kapet.