Mamndenyi kukuacha haimaanishi usipate mwingine ila pata mwingine uishi kwa raha bana ila kwa Arushaone naona umechemsha aise maana ni king mswati wa chit chata Slave namuona huku nae analeta majeshi yake kwako sijui nae umemuweka wapi
naona heri hata ya Arushaone kuliko wewe mwanaume ambaye nilikupa ua jekundu
nikakuimbia tenzi za mapenzi
lakini ukaniacha kisa limbwata,
una maana kweli wewe.
naona heri hata ya Arushaone kuliko wewe mwanaume ambaye nilikupa ua jekundu
nikakuimbia tenzi za mapenzi
lakini ukaniacha kisa limbwata,
una maana kweli wewe.
Hahahahhaha hakuna cha limbwata wala mdogo wake limbwata hapa ni mapenzi tuu ya uhakika kutoka kwa Dena Amsi yamenifanya nirudi
Ulishindwa kupalilia bustani yako ukaiacha mpaka jua likakausha maua yote ndo maana nikakimbia Mamndenyi
Hahahahhaha hakuna cha limbwata wala mdogo wake limbwata hapa ni mapenzi tuu ya uhakika kutoka kwa Dena Amsi yamenifanya nirudi
Ulishindwa kupalilia bustani yako ukaiacha mpaka jua likakausha maua yote ndo maana nikakimbia Mamndenyi
haaaa unakataa kula kale kanyama
kwa hiyo ni palizi tu,
kwangu hiyo palizi yako uliyoitaka msharti yake ni magumu sana yalinishinda mimi
mimi sina tatizo endelea tu
najua nitapata wa kunibembeleza kama kawaida yangu.
Hahahahhaha hakuna cha limbwata wala mdogo wake limbwata hapa ni mapenzi tuu ya uhakika kutoka kwa Dena Amsi yamenifanya nirudi
Ulishindwa kupalilia bustani yako ukaiacha mpaka jua likakausha maua yote ndo maana nikakimbia Mamndenyi
Hapa my wife wangu hakuna lolote linaloendelea nazidi kumpa maneno akate tamaa na asinizoee kabisa huyu Mamndenyi
Na ashapata mwenzake Arushaone wapi kule kwenye verified couple wanabembelezana
Mimi penda wewe sana my wife wangu Dena Amsi
Mamndenyi hizi ni kashfa sasa mimi sio Arushaone au Erickb52 bana ambao ni king mswati wa chit chat mbona unanipa kashfa kwa my wife wangu aise Dena Amsi
Mamndenyi hizi ni kashfa sasa mimi sio Arushaone au Erickb52 bana ambao ni king mswati wa chit chat mbona unanipa kashfa kwa my wife wangu aise Dena Amsi
Hapa my wife wangu hakuna lolote linaloendelea nazidi kumpa maneno akate tamaa na asinizoee kabisa huyu Mamndenyi
Na ashapata mwenzake Arushaone wapi kule kwenye verified couple wanabembelezana
Mimi penda wewe sana my wife wangu Dena Amsi