Dena Amsi na Mr Rocky

hahahaaa! Pole sana, we tiba yako itabidi nikubadilishie memory card ya ubongo wako, naona hiyo unayoitumia sasa imeingia virus wengi sana wa stress ambao husababisha kuzimia hadi kifo kabisaa.

Lady doctor huyu Mamndenyi ana ugonjwa wa kupungua kwa uwezo wa kupenda na kupendwa hebu mpatie dawa muafaka aache kupewa talaka
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa! Pole sana, we tiba yako itabidi nikubadilishie memory card ya ubongo wako, naona hiyo unayoitumia sasa imeingia virus wengi sana wa stress ambao husababisha kuzimia hadi kifo kabisaa.

Lady doctor huyu Mamndenyi ana ugonjwa wa kupungua kwa uwezo wa kupenda na kupendwa hebu mpatie dawa muafaka aache kupewa talaka
 
Last edited by a moderator:

sio magumu ni utaratibu wa kazzi tu.tena Lady doctor amesahau hiyo memory card lazma iwe na security code mkeo tu ndo atapewa uache biashara ya kumpa kila mtu. mwenzio kiwatengu nishamwekea hakuna anayemsogelea ufunguo nnao mm tu.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…