Dena Amsi na Mr Rocky

Dena Amsi na Mr Rocky

hahahaaa! Pole sana, we tiba yako itabidi nikubadilishie memory card ya ubongo wako, naona hiyo unayoitumia sasa imeingia virus wengi sana wa stress ambao husababisha kuzimia hadi kifo kabisaa.

Lady doctor huyu Mamndenyi ana ugonjwa wa kupungua kwa uwezo wa kupenda na kupendwa hebu mpatie dawa muafaka aache kupewa talaka
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa! Pole sana, we tiba yako itabidi nikubadilishie memory card ya ubongo wako, naona hiyo unayoitumia sasa imeingia virus wengi sana wa stress ambao husababisha kuzimia hadi kifo kabisaa.

Lady doctor huyu Mamndenyi ana ugonjwa wa kupungua kwa uwezo wa kupenda na kupendwa hebu mpatie dawa muafaka aache kupewa talaka
 
Last edited by a moderator:
Masharti ya dokta ni magumu dah nyie shansarie na Lady doctor ngojeni kwanza nisiskass na my wife wangu Dena Amsi ndo anipe ushauri kama nije nipate tiba au nisije
Halafu kama mambo yenyewe ni kuwa unaingia thieta ukiwa mzima ila kutoka unakojotwa ni balaaa

sio magumu ni utaratibu wa kazzi tu.tena Lady doctor amesahau hiyo memory card lazma iwe na security code mkeo tu ndo atapewa uache biashara ya kumpa kila mtu. mwenzio kiwatengu nishamwekea hakuna anayemsogelea ufunguo nnao mm tu.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
me huwa nawatibu mpaka wanapotezaga fahamu hawa so ni vema mkewe amsindikize ila mkewe hato ingia theater, nikisha maliza kumtibu ndio namuita mkewe amsaidie mumewe kumkokota maana huwa wanakuwaga hoi bin taabani.

Asprin alikuja peke yake mpaka sasa hajazinduka nawatafuta wakeze waje wamchukue kabla sijatoa maamuzi magumu

Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom