MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Wapendwa wanajamvi
Ninaomba tujumuike pamoja na dada etu Dena Amsi katika kumfariji kwa kumpoteza Bibi yake Mzaa Babake, aliyefariki jana Dar Es Salaam. Msiba upo Binju A shuleni.
Ndo mji gani huo??! amen!
Ndo mji gani huo??! amen!
Pole dada Dena kwa msiba....Tuko pamoja!
Pole sana wafiwa wote
Batta Hb Boy Nimetaka kukuadd tena ila kila nikikuadd friends wamejaa....Naona umebadili na avatar..haya bwana mi nimerudi kivingine baada ya kutandikwa ban mbk oct..(am sore rr) hata fb sikuoni B52..
wako mtiifu T'Hata..
Batta Hb Boy Nimetaka kukuadd tena ila kila nikikuadd friends wamejaa....
Nitumie request niaccept
Hahahahaaaa poapoa poa tusiichakachue sredi ya watu!! rip bibi!