Deni la Diamond platnumz kwa Ali Kiba

Deni la Diamond platnumz kwa Ali Kiba

Hakuna watu wenye wivu wa maendeleo ya wengine km sisi waTZ. ....kucha kutwa kumjadili mtu ambaye hata hakujui sura yako nao ni uzilipendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
7b37fef26ec8813b12f953cd7620b518.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau,
Nianze na kilichonileta hapa,,,

Diamond platnumz unatakiwa ujue kuwa kwasasa una deni kubwa sana kwa kinachoendelea sasahivi na huu upepo wa TSUNAMI wa SEDUCE ME ya KING ALIKIBA,,kama tunavyoona wewe umeonekana ndo looser kwenye huu mpambano japo ulianza vizuri na kilicho kuharibia zaidi target yako ni ngoma ya ZILIPENDWA..

--Rekodi yako ya youtube imevunjwa..
--watu wanakuponda.
--Umeongeza kejeri kwa uchokozi wako..

Kitu kitakachokuweka salama ni kuvunja rekodi ya video mpya ya Alikiba tena ambayo imetazamwa mara 1000000 ndani ya saa 38 tu..
Kwahiyo jipange maana siyo kitu cha mchezo mchezo..

Maoni yenu wanajukwaa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena malizia aiweke vivo asiiweke kwenye free you tube maana maroboti yatamfanyia kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau,
Nianze na kilichonileta hapa,,,

Diamond platnumz unatakiwa ujue kuwa kwasasa una deni kubwa sana kwa kinachoendelea sasahivi na huu upepo wa TSUNAMI wa SEDUCE ME ya KING ALIKIBA,,kama tunavyoona wewe umeonekana ndo looser kwenye huu mpambano japo ulianza vizuri na kilicho kuharibia zaidi target yako ni ngoma ya ZILIPENDWA..

--Rekodi yako ya youtube imevunjwa..
--watu wanakuponda.
--Umeongeza kejeri kwa uchokozi wako..

Kitu kitakachokuweka salama ni kuvunja rekodi ya video mpya ya Alikiba tena ambayo imetazamwa mara 1000000 ndani ya saa 38 tu..
Kwahiyo jipange maana siyo kitu cha mchezo mchezo..

Maoni yenu wanajukwaa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena anatakiwa aimbe mwenyewe wimbo mzima bila kushirikisha mtu

D.A "Mwanaume mashine"
 
Huo ni upepo tu kama wa vyeti vya bashite. Yameshapita na huu utapita. Tukubali diamond ni mtu ambae anajituma hata kama akishuka Ana vitega uchumi vyake vyengine.sisi tupambane na hali yetu
hebu tuambie ni vitega uchumi gani hivyo zaidi ya kastudio ka wasafi?

D.A "Mwanaume mashine"
 
hebu tuambie ni vitega uchumi gani hivyo zaidi ya kastudio ka wasafi?

D.A "Mwanaume mashine"
Pambana na hali yako.
Wewe unashabikia udwanzi na kuhesabu vitega uchumi vya wanaume. Hebu tuambie kitaga uchumi chako ni kipi!?
 
Pambana na hali yako.
Wewe unashabikia udwanzi na kuhesabu vitega uchumi vya wanaume. Hebu tuambie kitaga uchumi chako ni kipi!?
[HASHTAG]#SeduceMe[/HASHTAG]

D.A "Mwanaume mashine"
 
[HASHTAG]#SeduceMe[/HASHTAG]

D.A "Mwanaume mashine"
Taja kitega uchumi chako hapa. Chuki hizo ni za watu walioshindwa maisha.
Unakaa kwa shemeji yako halafu unamponda Daimond ambaye anajitegemea anasimamia wasanii watano. Wewe mwenzangu unasubiri shemeji alete msosi ule kisha usubiri watu waondoke sebureni ndio ulale. Huo ni uzwazwa.

Fanya yako acha kumponda mwanaume usiyemjua.
 
Taja kitega uchumi chako hapa. Chuki hizo ni za watu walioshindwa maisha.
Unakaa kwa shemeji yako halafu unamponda Daimond ambaye anajitegemea anasimamia wasanii watano. Wewe mwenzangu unasubiri shemeji alete msosi ule kisha usubiri watu waondoke sebureni ndio ulale. Huo ni uzwazwa.

Fanya yako acha kumponda mwanaume usiyemjua.
Manina wewe
Kiba kakupigeni dole la kati

kiufupi we bado bwana mdogo au unataka ukuje uwe mke wangu wa pili, maana unahitaji sana kujua vitega uchumi vyangu

D.A "Mwanaume mashine"
 
Manina wewe
Kiba kakupigeni dole la kati

kiufupi we bado bwana mdogo au unataka ukuje uwe mke wangu wa pili, maana unahitaji sana kujua vitega uchumi vyangu

D.A "Mwanaume mashine"
Nani kaongelea kiba hapa. Mimi wote nawakubali. Lakini wewe unaonekana nati chache kichwani zimevunjika.
Unaamza kumponda mwanaume mwenzako kwenye mitandao kuhusu maisha yake. Huo no wehu. Wewe sifia wimbo unaoupenda siyo kumuhusisha mwanaume mwingine usio mjua.

Vijana wanaokaa kwa shemeji zao ndio tabia zenu hizo. Unajitapa umeoa kwikwikwikwi, unachekesha sana waliooa hawana akili fupi kama zako.

Pambana na hali yako.
 
Nani kaongelea kiba hapa. Mimi wote nawakubali. Lakini wewe unaonekana nati chache kichwani zimevunjika.
Unaamza kumponda mwanaume mwenzako kwenye mitandao kuhusu maisha yake. Huo no wehu. Wewe sifia wimbo unaoupenda siyo kumuhusisha mwanaume mwingine usio mjua.

Vijana wanaokaa kwa shemeji zao ndio tabia zenu hizo. Unajitapa umeoa kwikwikwikwi, unachekesha sana waliooa hawana akili fupi kama zako.

Pambana na hali yako.
Mbuzi mee wew

Kakojoe ulale!

D.A "Mwanaume mashine"
 
Huyu jamaa ana kauli za kike sana, mswahiliswahili,

Hana post za kisuper star, muda mwingi anapost utumbo, huwa anajishushia sana rate yake, sijui kwanini haigi wanachofanya masuper star wenzie km mwana fa, prf jay, ay, kiba watu hawa post zao zimekaa kisuper star ila mshkaji ni mswahili asiyebadilika, halafu uswahili wake ni ule wa kike
Ulitaka awe kama wale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa ana kauli za kike sana, mswahiliswahili,

Hana post za kisuper star, muda mwingi anapost utumbo, huwa anajishushia sana rate yake, sijui kwanini haigi wanachofanya masuper star wenzie km mwana fa, prf jay, ay, kiba watu hawa post zao zimekaa kisuper star ila mshkaji ni mswahili asiyebadilika, halafu uswahili wake ni ule wa kike
unajua maana ya LIFE STYLE?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom