Deni la Kenya lakadiriwa kufika trillions 150 mpaka kipindi Raisi U.Kenyatta atakapoachia madaraka, kwa sasa lipo trillioni 112

Deni la Kenya lakadiriwa kufika trillions 150 mpaka kipindi Raisi U.Kenyatta atakapoachia madaraka, kwa sasa lipo trillioni 112

Yanatusumbua kwasababu ninyi ni majirani, kumbuka matatizo ya jirani yako yanasambaa hadi kwako, ona jinsi USA inavyosumbuliwa na Mexico, Kenya inavyosumbuliwa na matatizo ya Somalia na South Sudan, Uganda na Rwanda I inavyosumbuliwa na matatizo ya Eastern DRC, Tanzania inavyosumbuliwa na insecurity ya Kenya.

Hii tabia ya ninyi wakenya kuendelea kupinga kila mnapoelezwa matatizo yenu, ndiyo inayosababisha kuendelea kupokea food aid pamoja na kwamba mna GDP kubwa lakini haina faida yoyote kwa mwanainchi wa kawaida, no wonder mpo katika kundi la failed state, shame on you.
Shame on you too. Pretending to care yet we know you are laughing at us. Hypocritical tanzagiza. Which food do you possess there that you keep bragging about
 
How are you going to colonize the colonizer?
At least we have Uganda. You fools couldn't even colonize south Sudan, she was right there ready for you, but you couldn't get it up.
Now Uganda (our colony) got her.
Wait till we start bending you guys over.
You cowards or another country?
 
Kwani mapato ya nchi ni trilioni ngapi? Usiangalie madeni tu bali angalia pia kipato kwa mwezi au kwa mwaka. Kama ongezeko la madeni lina zaidi kipato kwa mwaka hiyo ni shida, lakini kama ongezeko ni dogo kuliko kipato kwa mwaka nchi iko katika mkondo mzuri wa kuja kurudisha madeni yake.
Tumia akili haya ni mambo ya uchumi unahitaji elimu ya economics ili uwelewe kwanini madeni yanaleta shida katika maendeleo ya nchi.

Tatizo la deni lipo kwenye terms za ulipaji wa deni, kama interest ni kubwa na kipindi cha kulipa ni kifupi, maana yake pesa yote unayoipata, sehemu kubwa unalipa madeni, kinachobaki hakitoshi kulipa mishahara na matumizi mangine ya kuendesha serikali.

kwasababu bila mishahara hakuna Huduma za kijamii, nchi italazimika kukopa ili kulipa mishahara, hakuna chombo chochote cha fedha, wala serikali inayokopesha kwa ajili ya kulipia reccurent expenditure, lazima mtalazimika kuachia airports na Bandari.
 
Holdon, what did you just call us? How dare you call us hypocrites, Remember who gave you the life back from 2007 violence? Most of your internal problems Tanzania was there to make you breathe again
Vp kuhusu ulani wa albino
 
Sielewi kwa nini madeni ya Kenya yanawasumbua wabongo hivi. Yaani haiwezi pita hata siku moja bila kufungua Uzi kuhusu haya madeni?
First sort out how you can get out of LDC. Its a big shame for a country which is blessed with everything to be lagging behind like that
Baby unaufahamu ule wimbo wa sauti soul wakuitwa "tujiangalie"
 
Back
Top Bottom