Deni la mabilioni linalotokana na kukosekana kwa umeme kwa mkandarasi JNHPP ni Batili

Deni la mabilioni linalotokana na kukosekana kwa umeme kwa mkandarasi JNHPP ni Batili

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Ripoti ya CAG inasema kwamba mkandarasi wa Mradi wa umeme wa Nyerere anaidai Serikali mabilioni kama fidia ikiwa ni kutokana na kukosekana kwa umeme wa uhakika kumwezesha kutekeleza majukumu yake kimkataba.

Binafsi naona deni hilo ni batili kwani kimantiki. (Logically) hatupaswi kumlipa fidia hiyo.

Kwasababu sisi tumemuajiri mkandarasi ili atutengenezee bwawa ili tupate umeme wa uhakika.

Toka awali mkandarasi alijua kabisa kuwa sisi tunahitaji umeme maana yake ni kuwa tulio nao hautoshi.

Sasa kwa yeye kutudai sisi fidia kwakua hatujampa umeme wakati hatuna na majukumu yake ni kutusaidia tuupate umeme haileti maana yeyote.

Ni uonevu na matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi.

Asilipwe.
 
Wakuu mmeona terms na conditions za huo mkataba? Mkandarasi anadai na kulipwa kwa hisia ama kwa terms za mkataba?
Normally kwenye mikataba ya ujenzi kuna distribution ya risks kama vile utilities (Nishati) na mkandarasi ujaza cost ya ku provide izo utilities, sasa kama client (kwenye case yetu ni serikali) iki impose terms za ku provide utilities at all times na ikatokea some shortage or brokage, upelekea mkandarasi ku-reduce production ivyo ata incar extra expenses due to lose of production na kupelekea kudai compensation in terms of monetary and time extension.
Mind you that aki extend time on ground ya risk za client ata incur extra expenses ambazo atazidai kwa client.

All in all is about terms of contract na kuwa makini na distribution of risks. So Mkandarasi anadai na kulipwa as per contract not otherwise
 
Kama kwenye mkataba tuliahidi kumpatia umeme lakini hatukumpatia au tukawa tunaukatakata ovyo, kama tanesco ya januari na maharage wanavyotufanyia huko mtaani, basi madai yake ni halali kabisa.
 
Tatizo la hii mikataba kutowekwa wazi kwa wananchi waisome ndio tunafika hapa, hakuna anayejua mkataba unasema nini hivyo sio rahisi kwetu kujadili chochote.

Matokeo yake tunasubiri taarifa toka kwa makundi yanayotafunana CCM ndio tujue, lakini bado hatutajua ukweli kwasababu hayo makundi yote yanavutia upande wake kwa interest zake, hapa kuna kundi la mwendazake na kundi la wapigaji.

Bila kuiondoa CCM madarakani tutaendelea kuchezewa kama midoli na vikundi vya walafi wasiochoka kumtafuna mtanzania masikini.
 
Na wewe ukaamini maneno ya RCAG? Huyo mkandarasi hata hyo hela hadai , anachodai ni kucheleweshwa kwa pesa za mradi ....! Hlo la fidia ni mkakati wa genge
Inashangaza mno mtu anatudai kitu ambacho hatuna na tumempa kazi ya kututafutia.

Watu hawana hata aibu kabisa.
 
Kama kwenye mkataba tuliahidi kumpatia umeme lakini hatukumpatia au tukawa tunaukatakata ovyo, kama tanesco ya januari na maharage wanavyotufanyia huko mtaani, basi madai yake ni halali kabisa.
Does is make sense kumdai mtu kitu ambacho hana na amekupa kazi ya kumtafutia??
 
Ripoti ya CAG inasema kwamba mkandarasi wa Mradi wa umeme wa Nyerere anaidai Serikali mabilioni kama fidia ikiwa ni kutokana na kukosekana kwa umeme wa uhakika kumwezesha kutekeleza majukumu yake kimkataba.

Binafsi naona deni hilo ni batili kwani kimantiki. (Logically) hatupaswi kumlipa fidia hiyo.

Kwasababu sisi tumemuajiri mkandarasi ili atutengenezee bwawa ili tupate umeme wa uhakika.

Toka awali mkandarasi alijua kabisa kuwa sisi tunahitaji umeme maana yake ni kuwa tulio nao hautoshi.

Sasa kwa yeye kutudai sisi fidia kwakua hatujampa umeme wakati hatuna na majukumu yake ni kutusaidia tuupate umeme haileti maana yeyote.

Ni uonevu na matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi.

Asilipwe.
Mkuu njereee Stroke yani iyo hela ya fidia ingetosha kabisa kuweka lami kutoka Sanya juu hadi kwenu Longido. Kina mama yeyooo wafurahii kibisa.
 
"Hakuna deni la nchi ambalo mwananchi ataambiwa alipe bali serikali ndiyo italipa madeni hayo-Mwigulu 2022"
 
Kwasababu sisi tumemuajiri mkandarasi ili atutengenezee bwawa ili tupate umeme wa uhakika.

Toka awali mkandarasi alijua kabisa kuwa sisi tunahitaji umeme maana yake ni kuwa tulio nao hautoshi.
Umeuoana mkataba unasemaje? Kwamba mwenye mradi atahakikisha kunakuwepo na umeme wa kutosha na kuaminika ili kazi ifanyike.

Watu mnapenda sana kujitoa ufahamu, sijui kwa faida ya nani?

Hivi unajua maana ya mkataba?
 
Mantiki ya project management ata kama ni kazi yako na unaisimamia mwenyewe ni kumaliza hizo task kwa muda uliopanga.

Tofauti ya kazi utakayojisimamia mwenyewe na kumpa mtu mwingine akufanyie kuna mkataba wa kumaliza kazi ndani ya muda uliopangwa.

Kinyume na hapo kucheleweshwa kwa mradi bila ya sababu za msingi kuna fines zinazotokana na additional costs and loss of job opportunities za baadae (kwa mkandarasi) au loss of income kwa client (TANESCO) maana unachelewesha muda kuanza kutumia mradi kurudisha investment costs.

Na mambo yote hayo yanaelezwa kwenye frameworks za mikataba ya Project Management.

Mfano kwenye project ‘work break structure’ kuna mambo ya control procedures lazima waangalie risk za ‘scheduling constraints’. Kwenye kufanya ivyo mkandarasi anaweza highlight umeme uwe wa uhakika vinginevyo kuna risk ya kucheleweshwa kwa mradi. Ukahaidi utampatia umeme muda wote usipotimiza na kazi ikachalewa ni breach.

Tatizo linakuwa sio umekata umeme tu kuna costs za downtime inawezekana vibarua mkataba wao wafanye kazi wasifanye lazima walipwe, sub contractors nao lazima walipwe standing costs zao za siku.

Na kipimo utalipa nini kutokana na kuchelewesha kwa mradi kuna kinaitwa ‘Earned Value Management’ inapima kiwango cha kazi na gharama zilizotumika sasa kama kazi umechelewesha huku yeye analipa mishahara on downtime, running costs zingine na muda wake unachezea, clearly anavuka planned budget.

You don’t need me to tell you hatua za mkandarasi kwa kumtia hasara, kwenye maswala ambayo mlishayabaini yanaweza leta issue za ‘scheduling contraints’ awali kabisa na mkakubaliana mitigation strategies.

Hujuma zingine anafanyiwa waziri makusudi kwa sababu ya kujifanya mjuaji; amuwezi kuingia mahala mkajifanya wajuaji kuwagombeza na kuwatoa wataalamu nyie wenyewe ni clueless kwenye technical side of things.

Yaani huyu jamaa kuachia awe moderator wa mkataba wa LNG halafu alivyokuwa anasisitiza wakati utaratibu wa mkataba project management tu shida anaona umeme unakatwa yeye yupo kimya. Huko kwenye LNG ‘consideration’ ya hiyo mikataba finance zake sikia tu, waliogoma hawakuwa wapuuzi na January nina uhakika hakuna anachojua zaidi ya kuongelea local contents za kuuza kuku.
 
Umeuoana mkataba unasemaje? Kwamba mwenye mradi atahakikisha kunakuwepo na umeme wa kutosha na kuaminika ili kazi ifanyike.

Watu mnapenda sana kujitoa ufahamu, sijui kwa faida ya nani?

Hivi unajua maana ya mkataba?
CAG hajasema kwamba hayo ni matakwa ya mkataba. Angesema mkataba ulikua mbovu. Kama hilo lingekuwa jambo lenyewe.

Hata hivyo hatupaswi kulipa hata senti.
 
Mantiki ya project management ata kama ni kazi yako na unaisimamia mwenyewe ni kumaliza hizo task kwa muda uliopanga.

Tofauti ya kazi utakayojisimamia mwenyewe na kumpa mtu mwingine akufanyie kuna mkataba wa kumaliza kazi ndani ya muda uliopangwa.

Kinyume na hapo kucheleweshwa kwa mradi bila ya sababu za msingi kuna fines zinazotokana na additional costs and loss of job opportunities za baadae (kwa mkandarasi) au loss of income kwa client (TANESCO) maana unachelewesha muda kuanza kutumia mradi kurudisha investment costs.

Na mambo yote hayo yanaelezwa kwenye frameworks za mikataba ya Project Management.

Mfano kwenye project ‘work break structure’ kuna mambo ya control procedures lazima waangalie risk za ‘scheduling constraints’. Kwenye kufanya ivyo mkandarasi anaweza highlight umeme uwe wa uhakika vinginevyo kuna risk ya kucheleweshwa kwa mradi. Ukahaidi utampatia umeme muda wote usipotimiza na kazi ikachalewa ni breach.

Tatizo linakuwa sio umekata umeme tu kuna costs za downtime inawezekana vibarua mkataba wao wafanye kazi wasifanye lazima walipwe, sub contractors nao lazima walipwe standing costs zao za siku.

Na kipimo utalipa nini kutokana na kuchelewesha kwa mradi kuna kinaitwa ‘Earned Value Management’ inapima kiwango cha kazi na gharama zilizotumika sasa kama kazi umechelewesha huku yeye analipa mishahara on downtime, running costs zingine na muda wake unachezea, clearly anavuka planned budget.

You don’t need me to tell you hatua za mkandarasi kwa kumtia hasara, kwenye maswala ambayo mlishayabaini yanaweza leta issue za ‘scheduling contraints’ awali kabisa na mkakubaliana mitigation strategies.

Hujuma zingine anafanyiwa waziri makusudi kwa sababu ya kujifanya mjuaji; amuwezi kuingia mahala mkajifanya wajuaji kuwagombeza na kuwatoa wataalamu nyie wenyewe ni clueless kwenye technical side of things.

Yaani huyu jamaa kuachia awe moderator wa mkataba wa LNG halafu alivyokuwa anasisitiza wakati utaratibu wa mkataba project management tu shida anaona umeme unakatwa yeye yupo kimya. Huko kwenye LNG ‘consideration’ ya hiyo mikataba finance zake sikia tu, waliogoma hawakuwa wapuuzi na January nina uhakika hakuna anachojua zaidi ya kuongelea local contents za kuuza kuku.
Kibarua analipwa baada ya kufanya kazi hivyo hakuna gharama za vibarua hapo.

Kama hujafanya kazi inamaana hakuna cost yoyote uliyoincur.

Sasa malipo ya nini kama hujafanya kazi.

Mkandarasi anajukumu la kuhakikisha umeme unawaka.

Bado anadai hatujampa umeme huo umeme tunautoa wapi kama hajahakikisha unawaka.

Yeye hakujua anakwenda kufanya kazi ipi na kwa mazingira gani.

Hapa tunapigwa kweupe.
 
Kibarua analipwa baada ya kufanya kazi hivyo hakuna gharama za vibarua hapo.

Kama hujafanya kazi inamaana hakuna cost yoyote uliyoincur.

Sasa malipo ya nini kama hujafanya kazi.

Mkandarasi anajukumu la kuhakikisha umeme unawaka.

Bado anadai hatujampa umeme huo umeme tunautoa wapi kama hajahakikisha unawaka.

Yeye hakujua anakwenda kufanya kazi ipi na kwa mazingira gani.

Hapa tunapigwa kweupe.
Ndugu ndio maana kwenye mkataba wa project management kuna vitu kama project charter (inaelezea tasks zote), Project/Work Break Structure (Inaelezea hatua za kazi) Control Procedure (Milestone Trend Analysis), Schedulling constraints (inaelezea risk zinazoweza chelewesha mradi na namna ya kuzitatua), PERT (inaelezea likely time kila tasks inaweza chukua muda wa haraka, muda uliopangwa na muda wa kuchelewa); hayo ni sehemu ya muda wa mradi tu.

Sasa ivyo vitu vyote vinakuwa sehemu ya Project Initiating Document ambayo mnakubaliana kila mtu atimize upande wake hasa hapo kwenye scheduling contraints namna ya kutatua sababu zinazoweza chelewesha mradi; kama uliahidi umeme wa uhakika au ni jukumu lako kutoa umeme usipofanya ivyo hiyo ni breach.

Downtime ina costs hawa sio vibarua wanaojenga nyumba za mitaani bila ya mikataba ya kazi. Ukienda huko chances are vibarua wana contract mpaka mwisho wa project au task husika ni kama waajiriwa permanent tu wanalipwa monthly not day workers. Wewe kama umeajiriwa mshahara wako kwa mwezi siku umeme umekatika unakatwa day pay?

Kuna swala la opportunity costs kwa mkandarasi kumcheleweshea kazi anaweza acha ku bid tender zingine, kuna fixed cost, kuna running costs zingine ata kama kazi aijafanywa.

Mkandarasi sio charity ni mfanyabiashara anaethamini muda wake; kwa ivyo we unadhani wanaweza piga fine tu how do they just how much. Hayo sio mambo ya kujiamulia tu.

Ndio maana nikakueleza kuna maswala ya ‘Earned Value Management’ inapima cost za mradi kila hatua. Kama kuna budget deviation ya mradi iliyotokana makosa ya upande mmoja unalipia wewe hizo gharama sio mkandarasi in addition to time costs za kumpotezea muda.
 
Ndugu ndio maana kwenye mkataba wa project management kuna vitu kama project charter (inaelezea tasks zote), Project/Work Break Structure (Inaelezea hatua za kazi) Control Procedure (Milestone Trend Analysis), Schedulling constraints (inaelezea risk zinazoweza chelewesha mradi na namna ya kuzitatua), PERT (inaelezea likely time kila tasks inaweza chukua muda wa haraka, muda uliopangwa na muda wa kuchelewa); hayo ni sehemu ya muda wa mradi tu.

Sasa ivyo vitu vyote vinakuwa sehemu ya Project Initiating Document ambayo mnakubaliana kila mtu atimize upande wake hasa hapo kwenye scheduling contraints namna ya kutatua sababu zinazoweza chelewesha mradi; kama uliahidi umeme wa uhakika au ni jukumu lako kutoa umeme usipofanya ivyo hiyo ni breach.

Downtime ina costs hawa sio vibarua wanaojenga nyumba za mitaani bila ya mikataba ya kazi. Ukienda huko chances are vibarua contract mpaka mwisho wa project au task husika so ni kama permanent tu wanalipwa monthly not day workers. Wewe kama umeajiriwa mshahara wako kwa mwezi siku umeme umekatika unakatwa day pay?

Kuna swala la opportunity costs kwa mkandarasi kumcheleweshea kazi anaweza acha ku bid tender zingine, kuna fixed cost, kuna running costs zingine ata kama kazi aijafanywa.

Mkandarasi sio charity ni mfanyabiashara anaethamini muda wake; kwa ivyo we unadhani wanaweza piga fine tu how do they just how much. Ndio maana nikakueleza kuna maswala ya ‘Earned Value Management’ inapima over budget ya mradi kama ni makosa ya upande mmoja unalipia wewe hizo gharama sio mkandarasi in addition to time costs za kumpotezea muda.
Kuna tofauti kati ya mfanyakazi na kibarua. Maana hapo awali ulizungumzia kibarua sasa unamzungumzia mfanyakazi. Hao ni watu wawili tofauti.

Hapo kwenye Risk zinazoweza sababisha kuchelewesha mradi Umeme ilipaswa uwepo maana hatuna wa uhakika.

Huo muda wa kuchelewa mradi hauwezi kuwa covered hapo??

Au unakua covered namna gani??
 
Kuna tofauti kati ya mfanyakazi na kibarua. Maana hapo awali ulizungumzia kibarua sasa unamzungumzia mfanyakazi. Hao ni watu wawili tofauti.

Hapo kwenye Risk zinazoweza sababisha kuchelewesha mradi Umeme ilipaswa uwepo maana hatuna wa uhakika.

Huo muda wa kuchelewa mradi hauwezi kuwa covered hapo??

Au unakua covered namna gani??
Hapo sasa unanipa kazi ya ku explain vitu kwa urefu njia rahisi ni hii (after that unaweza google for depth explanation on the concepts).

Nimekueleza kuna makubaliano kwenye kutatua ‘schedulling contraints’ hiyo inaangalia possible risks zote zinazoweza chelewesha mradi mnaelewana namna ya kuzidhibiti na hilo linakuwa jukumu lako la kimkataba usipotokeleza kuna sanctions.

Nimekueleza kuna kinaitwa ‘Program Evaluation and Review Technique (PERT) kwenye kila tasks kuna possibilities tatu za muda wa kumaliza. So ukipitiliza bila ya sababu za msingi kuna fines kwa aliyesababisha.

Nimekueleza kuna Earned Value Management ina assess costs za mradi na hatua ulipo. If there are over spendings ambazo ni unjustifiable you are responsible for remedies sought kwa aliesababisha.

Mambo yote haya ni sehemu ya mkataba kila tasks ina muda wake na documents zingine kibao za control measures za tasks ahead ambazo wote mnazo sasa kuanza kuongelea mambo yote in details sijui ‘Project Network Diagram’ inaelezea nini, ‘Project scheduling and time estimation’ ina mantiki gani, ways of controlling costs and so forth hii mada itageuka darasa la project management.

Muhimu ni kwamba hakuna fines za hewani, mpaka kiwango kinachopigwa it’s justifiable by measurable additional costs due to delays and future income losses for the business.

Asubuhi njema.
 
Ripoti ya CAG inasema kwamba mkandarasi wa Mradi wa umeme wa Nyerere anaidai Serikali mabilioni kama fidia ikiwa ni kutokana na kukosekana kwa umeme wa uhakika kumwezesha kutekeleza majukumu yake kimkataba.

Binafsi naona deni hilo ni batili kwani kimantiki. (Logically) hatupaswi kumlipa fidia hiyo.

Kwasababu sisi tumemuajiri mkandarasi ili atutengenezee bwawa ili tupate umeme wa uhakika.

Toka awali mkandarasi alijua kabisa kuwa sisi tunahitaji umeme maana yake ni kuwa tulio nao hautoshi.

Sasa kwa yeye kutudai sisi fidia kwakua hatujampa umeme wakati hatuna na majukumu yake ni kutusaidia tuupate umeme haileti maana yeyote.

Ni uonevu na matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi.

Asilipwe.
Kosa kubwa lililofanyika katika mkataba ni kipengele cha umeme wakati wa ujenzi kuwa upande wa serikali.
Mkandarasi alitakiwa ajitegemee kuhusu umeme, kama atumie wa TANESCO kama mteja mwingine yeyote au aweke generator zake.
Mara nyingi wakandarasi hutumia mbinu zilizojificha kupata faida kwenye miradi ya serikali kupitia nishati ya kuendesha mitambo wakati wa mradi.
 
Back
Top Bottom