Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Hii combination ya Maharage na January ni ushuzi mwanzo mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezungumzia mambo meengi sana ila hoja hapa ni rahisi tu.Hapo sasa unanipa kazi ya ku explain vitu kwa urefu njia rahisi ni hii (after that unaweza google for depth explanation on the concepts).
Nimekueleza kuna makubaliano kwenye kutatua ‘schedulling contraints’ hiyo inaangalia possible risks zote zinazoweza chelewesha mradi mnaelewana namna ya kuzidhibiti na hilo linakuwa jukumu lako la kimkataba usipotokeleza kuna sanctions.
Nimekueleza kuna kinaitwa ‘Program Evaluation and Review Technique (PERT) kwenye kila tasks kuna possibilities tatu za muda wa kumaliza. So ukipitiliza bila ya sababu za msingi kuna fines kwa aliyesababisha.
Nimekueleza kuna Earned Value Management ina assess costs za mradi na hatua ulipo. It’s over spending ambazo ni unjustifiable you are responsible for remedies sought.
Mambo yote haya ni sehemu ya mkataba kila tasks ina muda wake na documents zingine kibao za control measures za tasks ahead ambazo wote mnazo sasa kuanza kuongelea mambo yote in details sijui ‘Project Network Diagram’ inaelezea nini, ‘Project scheduling and time estimation’ ina mantiki gani, ways of controlling costs and so forth hii mada itageuka darasa la project management.
Muhimu ni kwamba hakuna fines za hewani, mpaka kiwango kinachopigwa it’s justifiable by measurable additional costs due to delays and future income losses for the business.
Asubuhi njema.
Kwani mkataba unasemaje mkuu? Maana usije kuta unaongea kwa hisia kama mwanamke.Does is make sense kumdai mtu kitu ambacho hana na amekupa kazi ya kumtafutia??
Katika hayo mambo unayoyaona mengi and unnecessary ndio terms za mkataba wenyewe zilipotengezwa.Umezungumzia mambo meengi sana ila hoja hapa ni rahisi tu.
Hatupaswi kumlipa mtu kwa kutompa mtu kitu ambacho hatuna wakati jukumu lake ni kutupatia hicho ambacho hatuna.
Huo ni wizi wa mchana kweupe.
Kalaga baho tunajiandaa kulipa nusu ya deni kwenye certificate ijayo.Ripoti ya CAG inasema kwamba mkandarasi wa Mradi wa umeme wa Nyerere anaidai Serikali mabilioni kama fidia ikiwa ni kutokana na kukosekana kwa umeme wa uhakika kumwezesha kutekeleza majukumu yake kimkataba.
Binafsi naona deni hilo ni batili kwani kimantiki. (Logically) hatupaswi kumlipa fidia hiyo.
Kwasababu sisi tumemuajiri mkandarasi ili atutengenezee bwawa ili tupate umeme wa uhakika.
Toka awali mkandarasi alijua kabisa kuwa sisi tunahitaji umeme maana yake ni kuwa tulio nao hautoshi.
Sasa kwa yeye kutudai sisi fidia kwakua hatujampa umeme wakati hatuna na majukumu yake ni kutusaidia tuupate umeme haileti maana yeyote.
Ni uonevu na matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi.
Asilipwe.
Kimada wa ndugaiii upo?! Ulipambana kumjaza ujinga Ndugai,mwenzio sasaiv anaishi kwa kujificha Kama digidigiNa wewe ukaamini maneno ya RCAG? Huyo mkandarasi hata hyo hela hadai , anachodai ni kucheleweshwa kwa pesa za mradi ....! Hlo la fidia ni mkakati wa genge
Unakomalia kitu ambacho hukijui.CAG hajasema kwamba hayo ni matakwa ya mkataba. Angesema mkataba ulikua mbovu. Kama hilo lingekuwa jambo lenyewe.
Hata hivyo hatupaswi kulipa hata senti.
Hili genge litatumalizaNa wewe ukaamini maneno ya RCAG? Huyo mkandarasi hata hyo hela hadai , anachodai ni kucheleweshwa kwa pesa za mradi ....! Hlo la fidia ni mkakati wa genge
Yes, it does. Kutegemeana na makubaliano ya kwenye mkataba!Does is make sense kumdai mtu kitu ambacho hana na amekupa kazi ya kumtafutia??
Kama hayo ni makubaliano na anayedaiwa alikubali kutoa umeme wa uhakika basi hapo ubatili haupoRipoti ya CAG inasema kwamba mkandarasi wa Mradi wa umeme wa Nyerere anaidai Serikali mabilioni kama fidia ikiwa ni kutokana na kukosekana kwa umeme wa uhakika kumwezesha kutekeleza majukumu yake kimkataba.
Binafsi naona deni hilo ni batili kwani kimantiki. (Logically) hatupaswi kumlipa fidia hiyo.
Kwasababu sisi tumemuajiri mkandarasi ili atutengenezee bwawa ili tupate umeme wa uhakika.
Toka awali mkandarasi alijua kabisa kuwa sisi tunahitaji umeme maana yake ni kuwa tulio nao hautoshi.
Sasa kwa yeye kutudai sisi fidia kwakua hatujampa umeme wakati hatuna na majukumu yake ni kutusaidia tuupate umeme haileti maana yeyote.
Ni uonevu na matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi.
Asilipwe.