The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Yapi?yakle ya Chama wangeweka kwenye mwendokasi basi waingize faidawananunua Mabasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapi?yakle ya Chama wangeweka kwenye mwendokasi basi waingize faidawananunua Mabasi
mabasi ya viongoziYapi?yakle ya Chama wangeweka kwenye mwendokasi basi waingize faida
Na kwapia Trump atamaliza kipindi chake bila kukakanyaga Africa ndiyo maana hata ma-Rais wa Africa hawataitwa Marekani ni wachache sn wachapa kazi wataitwa hawa ombaomba wetu ni marufuku kukanyaga Marekani labda aende kwenye matibabu.CCM wataenda na magoti kuomba mikopo
Mpina kasema imebaki asilimia 4 tu kufika asilimia 40 za Ukomo wa ustahimilivu wa Deni.Ata Kenya walianza hivi hivi,deni vumilivu angali linaongezeka Kila kukicha,after 20 years Hilo deni halitokua vumilivu Tena na possibly ndio itakua mwanzo wa machafuko TZ hii.