Ongezea hapo gari zenyewe ni used za miaka 10 nyuma.***** kashiriaa cha uchumi kukua ni kununua magari mengi stupid Minister we had
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea hapo gari zenyewe ni used za miaka 10 nyuma.***** kashiriaa cha uchumi kukua ni kununua magari mengi stupid Minister we had
Tunaelekea kubaya mnoRipoti ya mwezi ya Benki ya Tanzania inaonesha mpaka Julai 2024, deni la serikali lilifikia Trilioni 98.5 huku asilimia 67 ya deni hilo likiwa ni deni la nje sawa na dola za kimarekani Bilioni 24.69, ambazo ni Trilioni 66 za Kitanzania
Sekta iliyopokea mikopo mingi ni usafirishaji na mawasiliano ambapo ilipokea asilimia 25.9 ya mikopo yote ikifuatiwa na huduma za kijamii na mawasiliano iliyopokea asilimia 23.9 ya mkopo wote.
Kati ya mwaka 2020 na mwaka 2024, deni la ndani limeongezeka mara mbili kutoka Trilioni 15.1 mwaka 2020 mpaka kufikia Trilioni 32 mwaka 2024. Wakopeshaji wakubwa wa ndani ni Benki za Kibiashara (30.2%), Mifuko ya Hifadhi (27%), Benki Kuu( 23%), Kampuni za Bima (5.7%) na nyinginezo (14%).
View attachment 3107555
Bado sana hilo deni mama kopaa zaidi wakitubania tutawaweka bondi lisu na mboweRipoti ya mwezi ya Benki ya Tanzania inaonesha mpaka Julai 2024, deni la serikali lilifikia Trilioni 98.5 huku asilimia 67 ya deni hilo likiwa ni deni la nje sawa na dola za kimarekani Bilioni 24.69, ambazo ni Trilioni 66 za Kitanzania
Sekta iliyopokea mikopo mingi ni usafirishaji na mawasiliano ambapo ilipokea asilimia 25.9 ya mikopo yote ikifuatiwa na huduma za kijamii na mawasiliano iliyopokea asilimia 23.9 ya mkopo wote.
Kati ya mwaka 2020 na mwaka 2024, deni la ndani limeongezeka mara mbili kutoka Trilioni 15.1 mwaka 2020 mpaka kufikia Trilioni 32 mwaka 2024. Wakopeshaji wakubwa wa ndani ni Benki za Kibiashara (30.2%), Mifuko ya Hifadhi (27%), Benki Kuu( 23%), Kampuni za Bima (5.7%) na nyinginezo (14%).
View attachment 3107555
CmRipoti ya mwezi ya Benki ya Tanzania inaonesha mpaka Julai 2024, deni la serikali lilifikia Trilioni 98.5 huku asilimia 67 ya deni hilo likiwa ni deni la nje sawa na dola za kimarekani Bilioni 24.69, ambazo ni Trilioni 66 za Kitanzania
Sekta iliyopokea mikopo mingi ni usafirishaji na mawasiliano ambapo ilipokea asilimia 25.9 ya mikopo yote ikifuatiwa na huduma za kijamii na mawasiliano iliyopokea asilimia 23.9 ya mkopo wote.
Kati ya mwaka 2020 na mwaka 2024, deni la ndani limeongezeka mara mbili kutoka Trilioni 15.1 mwaka 2020 mpaka kufikia Trilioni 32 mwaka 2024. Wakopeshaji wakubwa wa ndani ni Benki za Kibiashara (30.2%), Mifuko ya Hifadhi (27%), Benki Kuu( 23%), Kampuni za Bima (5.7%) na nyinginezo (14%).
View attachment 3107555
Tulieni mama anaupiga mwingi... ccm wanafanya siasa kwenye uchumi... wanadhani nchi itaongozeka tu ila kuna uhusiano mkubwa ktk uongozi wa juu wa kitaifa na uchumi wa Taifa. Well tunajenga kizimkazi cc Kikwete na magemedari wengine waambie tunaenda na mama... tusiposema meno mwatungoaa ila kila mtu atalilia chumbani kwake kwa maumivu yake baada yakumaliza kula kwa urefu wa kamba yake
Cm
Huyo kidampa wa Makonda hawezi kuelewa issues nzito zinazohitaji brains kubwa kudigest ,namba hizo kwake ni nyota nyota tu.Duuu
Nani anajua huyu mama anatupelekaa wapiii , mh Samia anatupeleka wapi Lucas Mwashambwa
Jibu hili
Ndugai aliona mbali akasema sitaki history imuhukumu... Bint tall akaona fursa sasa wacha apambaneRipoti ya mwezi ya Benki ya Tanzania inaonesha mpaka Julai 2024, deni la serikali lilifikia Trilioni 98.5 huku asilimia 67 ya deni hilo likiwa ni deni la nje sawa na dola za kimarekani Bilioni 24.69, ambazo ni Trilioni 66 za Kitanzania
Sekta iliyopokea mikopo mingi ni usafirishaji na mawasiliano ambapo ilipokea asilimia 25.9 ya mikopo yote ikifuatiwa na huduma za kijamii na mawasiliano iliyopokea asilimia 23.9 ya mkopo wote.
Kati ya mwaka 2020 na mwaka 2024, deni la ndani limeongezeka mara mbili kutoka Trilioni 15.1 mwaka 2020 mpaka kufikia Trilioni 32 mwaka 2024. Wakopeshaji wakubwa wa ndani ni Benki za Kibiashara (30.2%), Mifuko ya Hifadhi (27%), Benki Kuu( 23%), Kampuni za Bima (5.7%) na nyinginezo (14%).
View attachment 3107555
Hilo ni swalinlw kijinga kupita maelezo.Duuu
Nani anajua huyu mama anatupelekaa wapiii , mh Samia anatupeleka wapi Lucas Mwashambwa
Jibu hili
Mkuu miaka 50, huko mbali sana 2035 hatutoboiNaona trend Inaonesha kila mwaka deni linapaa..
Hata mama amelikuta likiwa linapaa...!
Swali ina maana huwa hatutoi marejesho kupunguza deni?
Au tunafanya top-up??
Means tunaishi Kwa mikopo??
Nini kifanyike walau tupunguze?
Na kama litaendelea na trend hii ya kupanda baada ya miaka 50 tutafika wapi??
Au tutakuwa hatukopesheki?
Watakao kuwepo wataishije??
Nawaza tuu
Wewe uchumi unajuaHilo ni swalinlw kijinga kupita maelezo.
Una vyanzo vipi vya mapato vya kukufanya usikope kwa Kujijengea vyanzo vyako vya kukuingizia mapato?
Umeishiwa.Wewe uchumi unajua
Wee endelea na mikariro ya kruanii.
Na shungi kazi kubadilisha Shungi
Hizo matrillioni aliyokopa toka ameingia
Yameleta faida gani wakati miradi mingi imesimaaa hakuna kinachoendelaa.
Na watu waliyopo kwenye mfumo***** kashiriaa cha uchumi kukua ni kununua magari mengi stupid Minister we had
Ushaambiwa hakuna atakayekuja kukugongea kuwa unadaiwa deni la serikali-by doctor of Economics.Ripoti ya mwezi ya Benki ya Tanzania inaonesha mpaka Julai 2024, deni la serikali lilifikia Trilioni 98.5 huku asilimia 67 ya deni hilo likiwa ni deni la nje sawa na dola za kimarekani Bilioni 24.69, ambazo ni Trilioni 66 za Kitanzania
Sekta iliyopokea mikopo mingi ni usafirishaji na mawasiliano ambapo ilipokea asilimia 25.9 ya mikopo yote ikifuatiwa na huduma za kijamii na mawasiliano iliyopokea asilimia 23.9 ya mkopo wote.
Kati ya mwaka 2020 na mwaka 2024, deni la ndani limeongezeka mara mbili kutoka Trilioni 15.1 mwaka 2020 mpaka kufikia Trilioni 32 mwaka 2024. Wakopeshaji wakubwa wa ndani ni Benki za Kibiashara (30.2%), Mifuko ya Hifadhi (27%), Benki Kuu( 23%), Kampuni za Bima (5.7%) na nyinginezo (14%).
View attachment 3107555