DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

Kama ndiyo kusema ya kwamba pamoja na kukopa kote huko na hali bado ni hii. Sasa sijui kama tusingalikopa hali ingalikuwaje.

Akili yote ya viongozi wa sasa imeshikiliwa na majigambo kuhusu maendeleo ya vitu tu. Kupitia ktk picha hii ambayo nimembatanisha, na ambayo nimeipata humu humu jukwaani, imepata kunitafakarisha kwa kina kuhusu tofauti kubwa kati ya maendeleo ya watu na yale ya vitu, tena kwa kujumuisha kukua na uhimilivu wa deni la taifa.

Ni picha ambayo imebeba ujumbe wa kweli na kutoa maana kubwa sana kuhusu hali halisi ambayo inawakabili wanachi wengi hasa waishio maeneo ya vijijini., ambao habari zao hazisikiki na wala pia hawana mtu sahihi wa kuwaongelea kuhusu ya maisha yao. Hawa ndiyo ni wale waliotopea ndani ya lindi la ufukara na umaskini wa kutupwa licha ya majigambo na majisifu mengi ya awamu hii kuhusu maendeleo ya vitu.
tapatalk_1594260968709.jpeg
 
Hawa sindo wametuambia tumeingia uchumi wa kati!!
Huo uchumi wa kati ni nadharia tu,ni sawa na ndoto aotayo mtu aliyepo macho(Asiyelala usingizi).Hauongezi mlo mezani kwangu wala chochote mfukoni bila kutoka jasho.Therefore, don't put your hopes that higher. Life will remain the same or get worse if we are not careful.
Tumeambiwa tusifanye siasa na tusitoe lugha za matusi,take care,don't say I didn't warn you!
 
Maendeleo yeyeto Kama ayainui maisha ya watu ni kuchezea Kodi zetu
Somo hilo CCM wameshindwa kufaulu,wanafanya maigizo kwa vitu serious. Unajenga daraja kama LA Salender jipya ilhali lililopo halijaharibika na bado linatumika?Barabara ya Morocco imejengwa miaka michache iliyopita,unaibomoaje na kuipanua ilhali Luna maeneo watoto kama hao wanakalia mangomongo.Fikiria kama ungekuwa wewe au Mtoto wako?Ungefurahia matunda ya Uhuru kwenye miaka karibia 60?Umri wa Mtanzania kustaafu(Mzee)?
Kuna ulazima wa kutafuta mabadiliko ya mawazo,matendo na maneno yetu kuhusu maendeleo tunayoyataka na siyo yatakiwayo na watawala ili Tanzania irejee kwenye reli yake.
 
Somo hill CCM wameshindwa kufaulu,wanafanya maigizo kwa vitu serious. Unajenga daraja kama LA Salender jipya ilhali lililopo halijaharibika na bado linatumika?Barabara ya Morocco imejengwa miaka michache iliyopita,unaibomoaje na kuipanua ilhali Luna maeneo watoto kama hao wanakalia mangomongo.Fikiria kama ungekuwa wewe au Mtoto wako?Ungefurahia matunda ya Uhuru kwenye miaka karibia 60?Umri wa Mtanzania kustaafu(Mzee)?
Kuna ulazima wa kutafuta mabadiliko ya mawazo,matendo na maneno yetu kuhusu maendeleo tunayoyataka na siyo yatakiwayo na watawala ili Tanzania irejee kwenye reli yake.

Awaangalii vipaumbele vyetu Bali vyao,ikulu mpya Hali ya zamani ipo,sgr Hali mbadala ipo,bwawa la Nyerere Hali ya zamani ungeweza yaboresha ukapata umeme uutakao.
Labda Kama wanatumia miradi Kama sehemu ya kutakatishia Kodi zetu.
Bado awajagusa key ya matatizo ya watz zaidi ya kutafutia sifa na kuja kukumbukwa wasipokuwepo,ni ubinafsi wa kiwango cha juu huu
 
Awaangalii vipaumbele vyetu Bali vyao,ikulu mpya Hali ya zamani ipo,sgr Hali mbadala ipo,bwawa la Nyerere Hali ya zamani ungeweza yaboresha ukapata umeme uutakao.
Labda Kama wanatumia miradi Kama sehemu ya kutakatishia Kodi zetu.
Bado awajagusa key ya matatizo ya watz zaidi ya kutafutia sifa na kuja kukumbukwa wasipokuwepo,ni ubinafsi wa kiwango cha juu huu
Ndipo tunaposema maendeleo ya vitu,tunamaanisha hilo.Watawala wanatekeleza miradi inayotumia sehemu kubwa ya mapato yetu ya ndani ambayo ni madogo.Misaada tumenyimwa,na sasa tumeingia uchumi wa kati ndiyo tutakiona kwa sababu masharti yatakayozingatiwa siyo kama ile ya nchi maskini tena.Tusisahau kuwa deni la Taifa japo wanasema ni himilivu lakini athari zake ni nyingi na haikosi itatuchukua miaka mingi sana kujinusuru.
Mabadiliko yanatakiwa liwake jua au inyeshe mvua.Kura zetu zinaweza kutuletea viongozi tunao waamini bila mizengwe ya yeyote.
 
Hoja mmeishiwa mnabaki kubangaiza na habari zilizooza.
 
Ndipo tunaposema maendeleo ya vitu,tunamaanisha hilo.Watawala wanatekeleza miradi inayotumia sehemu kubwa ya mapato yetu ya ndani ambayo ni madogo.Misaada tumenyimwa,na sasa tumeingia uchumi wa kati ndiyo tutakiona kwa sababu masharti yatakayozingatiwa siyo kama ile ya nchi maskini tena.Tusisahau kuwa deni la Taifa japo wanasema ni himilivu lakini athari zake ni nyingi na haikosi itatuchukua miaka mingi sana kujinusuru.
Mabadiliko yanatakiwa liwake jua au inyeshe mvua.Kura zetu zinaweza kutuletea viongozi tunao waamini bila mizengwe ya yeyote.

Wamewafanya watu wawe masikini kimakusudi ili watawaliwe, wanyonge ni rahisi kwao kuamini propaganda
 
Wamewafanya watu wawe masikini kimakusudi ili watawaliwe, wanyonge ni rahisi kwao kuamini propaganda
Hatutaki unyonge,siye hatuwezi kuendelea kuwa wanyonge ndani ya nchi yetu wenyewe.Hali hii haikubaliki na tuwakatae wanaotulazimisha kuwa wanyonge.
Tanzania ni nchi Huru,Watanzania wanatakiwa kuwa watu Huru, wawezeshwe kutumia aina zote za raslimali zilizopo kuleta maendeleo bila ubaguzi wa aina yoyote.Haijalishi tofauti zetu lakini sote ni Watanzania.
 
Hatutaki unyonge,siye hatuwezi kuendelea kuwa wanyonge ndani ya nchi yetu wenyewe.Hali hii haikubaliki na tuwakatae wanaotulazimisha kuwa wanyonge.
Tanzania ni nchi Huru,Watanzania wanatakiwa kuwa watu Huru, wawezeshwe kutumia aina zote za raslimali zilizopo kuleta maendeleo bila ubaguzi wa aina yoyote.Haijalishi tofauti zetu lakini sote ni Watanzania.
Mtawaliwa aruhusiwi kuwa juu kuliko mtawala
 
Ndipo tunaposema maendeleo ya vitu,tunamaanisha hilo.Watawala wanatekeleza miradi inayotumia sehemu kubwa ya mapato yetu ya ndani ambayo ni madogo.Misaada tumenyimwa,na sasa tumeingia uchumi wa kati ndiyo tutakiona kwa sababu masharti yatakayozingatiwa siyo kama ile ya nchi maskini tena.Tusisahau kuwa deni la Taifa japo wanasema ni himilivu lakini athari zake ni nyingi na haikosi itatuchukua miaka mingi sana kujinusuru.
Mabadiliko yanatakiwa liwake jua au inyeshe mvua.Kura zetu zinaweza kutuletea viongozi tunao waamini bila mizengwe ya yeyote.
Wafanye wawe masikini ili uwatawale,kwao maendeleo ya vitu ndio muhimu kuliko watu, wanaogopa kuendeleza watu ili wanyonge waongezeke, mnyonge ni rahisi kumlisha propaganda,mnyonge anashabikia ndege Hali si mpandaji,mnyonge anafurahi tajiri anaposhughulikiwa bila kujua ye ndo atapigika kabisa
 
Back
Top Bottom