DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

Tulishaonywa ila Gavana kwa ushauri wake limefikia Trilioni 82 na bado anaona inafaa tuendelee kukopa.

Huyu Gavana analitakia nini hili Taifa letu?

Tuuzwe kama alivyosema Ndugai??
 
Tulishaonywa ila Gavana kwa ushauri wake limefikia Trilioni 82 na bado anaona inafaa tuendelee kukopa.

Huyu Gavana analitakia nini hili Taifa letu?

Tuuzwe kama alivyosema Ndugai??
Duhhh
 
Mkuu inabidi ubadilike kimtazamo sio kila siku unakuja na njia zile zile za kuwasilisha maoni yako. Hizo picha zinapitwa na wakati, kadri serikali inavyojenga mashule mapya ya kisasa kila kukicha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…