Deni la taifa; kila Mkenya anadaiwa takriban Tshs 2,100,000


Labda kwa mazingaumbwe ndio utaona break even. Mchina anahagaika kujaribu kuona pesa yake haipoteo kwenye hiyo reli huku waganda wanapindasha kona kuja Tanzania, Kweli break even inakuja.
 
Hatari sana, yaani jamaa wanapiga 40% na bado wana mambo lukuki hawajatimiza, hivyo wanategemea kukopa mpaka iwatokee puani ilhali bado hata hawajatoka kwenye nchi maskini Afrika.
Mambo lukuki kama yapi? Hili zigo la madeni mnalo mpaka mwisho wa dunia. Halafu walipaji ni wakenya wote hata watoto ambao bado hawazalia. Kibaya zaidi pesa iliyo kopwa imeishia mifukoni kwa wajanja wachache. "Tano Tena"
 
Sisi tunapeleka vitu zaidi ya 5 kwa pamoja nyie hivyo viwili tu mnajidaiiii, sasa ili tuwakomeshe kuanzia April tar 4 saa 12asbhi mtazungukia moshi kupanda mlima Kilimanjaro,, shenzi taipu, mlima wote tunapiga ukuta tunabakiza tundu moja tu hapa moshi,, ili mlipe mapato,,
 
Msijaribu kuzungusha ukuta mt. Kilimanjaro. Hivi nyinyi hamjui Kilimanjaro ipo Kenya?
 
duh,mkuu acha jamaa apumue bana.hizi za uso zimemtosha 😀
 

Hamna mtu wa Burundi ataendesha lori atoke na lori toka mombasa apitie tanzania yote ndo aingie kwao. Huyo atakuwa sio mfanyabiashara ni mfanya masihara
 
Hamna mtu wa Burundi ataendesha lori atoke na lori toka mombasa apitie tanzania yote ndo aingie kwao. Huyo atakuwa sio mfanyabiashara ni mfanya masihara

Sasa kwa akili zako ipi sahihi, maana sasa hivi wapo wanaotokea Burundi, wanakatiza Burundi inaisha na kuingia Rwanda, wanakatiza Rwanda mpakani hadi mpakani na kuvuka hadi Uganda, wanakatiza Uganda mpakani hadi mpakani na kuingia Kenya, wanakatiza Kenya yote hadi Mombasa.... Yote haya wanafanya kwa sababu ya uzembe wenu, mumeshindwa kuwahudumia.

Sasa leo hao wamepunguziwa kilomita mia tano, tukiendelea poa hadi reli iishie Kigali, watakua wamepunguziwa safari yote.
 
Msijaribu kuzungusha ukuta mt. Kilimanjaro. Hivi nyinyi hamjui Kilimanjaro ipo Kenya?
Waache bana. Wanajitia hamnazo lakini wanajua vizuri kwamba Ml. Kilimanjaro ni mali ya Kenya.
 
Mna kipi? Hivi em tuongee pasi na ushabiki, Kenya mna kipi cha kuwafundisha watanzania?

Miradi mikubwa Tanzania so far ni SGR, Stieglers gorge, kinyerezi ambayo yote hii kama ni mkopo especially kinyerezi tayari ipo counted in kwenye deni la taifa hiyo mingine tunatumia pesa za ndani ambapo ikikamilika nyie Kenya mnakua nzi tu to the respective projects comparisons.
 
Midege yote miboeing Dreamliners na mingine yote 7 tumenunua kwa pesa zetu cash wakenya barabara ya kilometer 3 wanakopa pesa
 
Mambo lukuki kama yapi? Hili zigo la madeni mnalo mpaka mwisho wa dunia. Halafu walipaji ni wakenya wote hata watoto ambao bado hawazalia. Kibaya zaidi pesa iliyo kopwa imeishia mifukoni kwa wajanja wachache. "Tano Tena"
Wakenya kuna mda wanatia huruma kweli sema wanaujasiri wa kujisifia wakati kamba ipo shingon hahahh
 
Msijaribu kuzungusha ukuta mt. Kilimanjaro. Hivi nyinyi hamjui Kilimanjaro ipo Kenya?
Waache bana. Wanajitia hamnazo lakini wanajua vizuri kwamba Ml. Kilimanjaro ni mali ya Kenya.
Hiki tu ndio huwa kinanifanya niipende zaidi nchi yangu Tanzania kwa namna mlivyo obsessed with Tanzania that makes me feel proud to be a Tanzanian, I wonder vipi mtanzania ataipenda Kenya kwa kipi haswa?

Wenye wivu wajinyonge
 
Naona aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…