Mombasa ni overseas territory ya Tanzania hilo nani asiyelijuaTEMLO DA VINCA, sijui kwanini WATZ huwa mna tamaa na huo mlima wetu. Dunia nzima inajua mlima upo Kenya. Sasa sijui kwanini huwa mnajifanya wajuaji. Hivi mmesikia yeyote ule akisema Mombasa, Tz?
Hujui historia so usinitolee mapovu hapa et kilimanjaro ipo kenya nioneshe ni wapi ramani imeonesha mlima upo kenya....na ungekua unajua historia usingeshangaa mi kukwambia kama mnautaka mlima mjue mombasa inakua mkoa wa tz..kaulze wakubwa wako sawa bwana mdogoTEMLO DA VINCA, sijui kwanini WATZ huwa mna tamaa na huo mlima wetu. Dunia nzima inajua mlima upo Kenya. Sasa sijui kwanini huwa mnajifanya wajuaji. Hivi mmesikia yeyote ule akisema Mombasa, Tz?
Mombasa ni overseas territory ya Tanzania hilo nani asiyelijua
Endeleeni kujiliwaza, Kenya tunapiga hela nyingi sana kupitia Ml. Kilimanjaro yetu. We mzee Mombasa si mkoa, ni gatuzi. Ile bandari yetu mtawezana nayo kweli? Afu hapo hapo kuna SGR buana, hata mjinga akitua Mombasa atajua tu hajatua kwa wabongo. Kuna maendeleo!Hujui historia so usinitolee mapovu hapa et kilimanjaro ipo kenya nioneshe ni wapi ramani imeonesha mlima upo kenya....na ungekua unajua historia usingeshangaa mi kukwambia kama mnautaka mlima mjue mombasa inakua mkoa wa tz..kaulze wakubwa wako sawa bwana mdogo
Itabidi JPM aifufue ile Mombasa Republican Council hapo ndo tutaona nani mbabe.Endeleeni kujiliwaza, Kenya tunapiga hile nyingi sana kupitia Ml. Kilimanjaro yetu. We mzee Mombasa si mkoa, ni gatuzi. Mkoa ni pwani. Afu ile bandari yetu mtawezana nayo? Hapo pia kuna SGR buana.
Mnapiga hela kupitia kilimajaro hahahahahaha weee dogo rudi shule hamjafungua tu shule huko..waulize wenzio y pato lenu la utalii limeshukaa???tumewabania kidogo tuu mmeelemewa saa mkiendelea kuleta mdomo ndo tutajenga ukuta kabsa tuone ka hamjafa njaaEndeleeni kujiliwaza, Kenya tunapiga hile nyingi sana kupitia Ml. Kilimanjaro yetu. We mzee Mombasa si mkoa, ni gatuzi. Mkoa ni pwani. Afu ile bandari yetu mtawezana nayo? Hapo pia kuna SGR buana.
Ah wapi bana hilo eneo lote linategemea Kenya kwa karibia kila kitu. Elimu, miundo mbinu, jkia. Hadi na mitandao ya simu. Ndo maana watalii wanakuja Kenya kuona Ml. Kilimanjaro wetu. Sasa wewe ukiwa zako Mkuranga haya maswala utayafahamu vipi? Kawaulize wakazi wa sehemu hizo watakufahamisha kwamba wao ni wakenya.Mnapiga hela kupitia kilimajaro hahahahahaha weee dogo rudi shule hamjafungua tu shule huko..waulize wenzio y pato lenu la utalii limeshukaa???tumewabania kidogo tuu mmeelemewa saa mkiendelea kuleta mdomo ndo tutajenga ukuta kabsa tuone ka hamjafa njaa
JPM mwenyewe anagwaya. Anaona masaibu yanayomkumba swahibaake, akiulizwa atasema Mombasa ni jiji kuu la Yemen au hata Saudia.Itabidi JPM aifufue ile Mombasa Republican Council hapo ndo tutaona nani mbabe.
Tuwape financial and logistical support.
Bange mbichi sio nzur kwa afya yako ..nimekwambia nioneshe raman yeyote dunian inaoyoonesha kilimanjaro ipo kenyaa..hiv huon aibu kung'ang'ania kisicho chako????dawa yenu ndogo subiri tuuAh wapi bana hilo eneo lote linategemea Kenya kwa karibia kila kitu. Elimu, miundo mbinu, jkia. Hadi na mitandao ya simu. Ndo maana watalii wanakuja Kenya kuona Ml. Kilimanjaro wetu. Sasa wewe ukiwa hapo Mkuranga haya maneno utayajua vipi? Waulize wakazi wa huko watakuambia ni wakenya.
Hiyo dawa tumeisubiri siku nyingi tu lakini wapi! Wewe usiyewevuta bange mbichi mbona unang'ang'ania Mombasa yetu? Yenye dhamani kubwa mara mia ya mlima wetu Kilimanjaro ?Bange mbichi sio nzur kwa afya yako ..nimekwambia nioneshe raman yeyote dunian inaoyoonesha kilimanjaro ipo kenyaa..hiv huon aibu kung'ang'ania kisicho chako????dawa yenu ndogo subiri tuu