Deni la Taifa kufikia trilioni 91, nchi imekaribia kuuzwa?

Deni la Taifa kufikia trilioni 91, nchi imekaribia kuuzwa?

Debt is like any other trap, easy enough to get into, but hard enough to get out of.Some debts are fun when you are acquiring them, but none are fun when you set about retiring them.

Wars in old times were made to get slaves. The modern implement of imposing slavery is debt.
 
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hadi kufikia March 2024, deni la Serikali lilikuwa shilingi bilioni 91,708.3 (Tsh. trilioni 91.7) ikilinganishwa na shilingi bilioni 77,010.4 (Tsh. trilioni 77.) katika kipindi kama hicho mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 19.1.

Akitoa hotuba ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Bungeni Jijini Dodoma leo June 13,2024, Mkumbo amesema “deni la ndani lilikuwa shilingi bilioni 30,753.8 na deni la nje lilikuwa shilingi bilioni 60,954.5”

Itakumbukwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, wakati akiwasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma March 28,2024 moja ya aliyoyazungumzia ni deni la Serikali ambapo alisema hadi kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa Tsh. trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh.trilioni 71.31 kwa mwaka 2021/2022, deni hilo lilijumuisha deni la ndani Tsh. trilioni 28.92 na deni la nje Tsh. trilioni 53.32”
Nadhani mpk dak hii Muhimbili nayo ipo sokoni, maza siyo wa mchezo mchezo
 
Debt is like any other trap, easy enough to get into, but hard enough to get out of.Some debts are fun when you are acquiring them, but none are fun when you set about retiring them.

Wars in old times were made to get slaves. The modern implement of imposing slavery is debt.
UWT hawatakuelewa mkuu
 
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hadi kufikia March 2024, deni la Serikali lilikuwa shilingi bilioni 91,708.3 (Tsh. trilioni 91.7) ikilinganishwa na shilingi bilioni 77,010.4 (Tsh. trilioni 77.) katika kipindi kama hicho mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 19.1.

Akitoa hotuba ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Bungeni Jijini Dodoma leo June 13,2024, Mkumbo amesema “deni la ndani lilikuwa shilingi bilioni 30,753.8 na deni la nje lilikuwa shilingi bilioni 60,954.5”

Itakumbukwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, wakati akiwasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma March 28,2024 moja ya aliyoyazungumzia ni deni la Serikali ambapo alisema hadi kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa Tsh. trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh.trilioni 71.31 kwa mwaka 2021/2022, deni hilo lilijumuisha deni la ndani Tsh. trilioni 28.92 na deni la nje Tsh. trilioni 53.32”
Tiyari
 
Maswala yanayotakiwa kuelezewa na waziri wa fedha yanaongelewa na waziri wa mipango.

Mkopaji waziri, debt management office ipo ndani ya wizara ya fedha, BoT ipo chini ya wizara ya fedha, wataalamu wa fedha wapo wizara ya fedha, banks zipo chini ya fedha, tarakimu za uchumi zinakusanywa na waziri wa fedha.

What business waziri wa mipango aliyonayo kuongelea hayo mambo. Haya akiulizwa kwanini serikali inakubali mikopo ya floating given the currency na interest; yeye atajibu nini wakati hajui lolote kuhusu terms za hiyo mikopo.

Talk of banana republic, mnaenda anzisha wizara halafu hawajui waipe majukumu gani matokeo yake ndio hayo overlapping ya shughuli za wizara nyingine.
 
Maswala yanayotakiwa kuelezewa na waziri wa fedha yanaongelewa na waziri wa mipango.

Mkopaji waziri, debt management office ipo ndani ya wizara ya fedha, BoT ipo chini ya wizara ya fedha, wataalamu wa fedha wapo wizara ya fedha, banks zipo chini ya fedha, tarakimu za uchumi zinakusanywa na waziri wa fedha.
Hata mimi nimeshangaa
 
Nchi yetu hata haiko kwenye list ya nchi 30 zenye madeni makubwa Africa

Kwa hiyo watanzania wa mitandaoni punguzeni midomo mirefu, lazima nchi ikope ili tufanye shughuli za kimaendeleo kwa ufanisi
ISSUE SIO UKUBWA WA DENI ILA NI APPLICABILITY YA AYO MADENI YANAYOKOPWA TUONGEENI UKWELI MTAANI HALI INAZIDI KUWA NGUMU PESA HAIONEKANI ILA WATU WACHACHE WANAJENGA MAJUMBA YA KIFAHARI NA KUNUNU MAGARI MAPYA YA BEI KUBWA!
 
Polojo tu umeongea
Fanya kaz kijana deni la taifa linalipwa kwa kufanya kazi sio siasa na polojo zako apa mtandaoni
 
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hadi kufikia March 2024, deni la Serikali lilikuwa shilingi bilioni 91,708.3 (Tsh. trilioni 91.7) ikilinganishwa na shilingi bilioni 77,010.4 (Tsh. trilioni 77.) katika kipindi kama hicho mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 19.1.

Akitoa hotuba ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Bungeni Jijini Dodoma leo June 13,2024, Mkumbo amesema “deni la ndani lilikuwa shilingi bilioni 30,753.8 na deni la nje lilikuwa shilingi bilioni 60,954.5”

Itakumbukwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, wakati akiwasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma March 28,2024 moja ya aliyoyazungumzia ni deni la Serikali ambapo alisema hadi kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa Tsh. trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh.trilioni 71.31 kwa mwaka 2021/2022, deni hilo lilijumuisha deni la ndani Tsh. trilioni 28.92 na deni la nje Tsh. trilioni 53.32”
CCM mbele kwa mbele!
 
Back
Top Bottom