mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,188
- 1,090
Nadhani mpk dak hii Muhimbili nayo ipo sokoni, maza siyo wa mchezo mchezoWaziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hadi kufikia March 2024, deni la Serikali lilikuwa shilingi bilioni 91,708.3 (Tsh. trilioni 91.7) ikilinganishwa na shilingi bilioni 77,010.4 (Tsh. trilioni 77.) katika kipindi kama hicho mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 19.1.
Akitoa hotuba ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Bungeni Jijini Dodoma leo June 13,2024, Mkumbo amesema “deni la ndani lilikuwa shilingi bilioni 30,753.8 na deni la nje lilikuwa shilingi bilioni 60,954.5”
Itakumbukwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, wakati akiwasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma March 28,2024 moja ya aliyoyazungumzia ni deni la Serikali ambapo alisema hadi kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa Tsh. trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh.trilioni 71.31 kwa mwaka 2021/2022, deni hilo lilijumuisha deni la ndani Tsh. trilioni 28.92 na deni la nje Tsh. trilioni 53.32”
UWT hawatakuelewa mkuuDebt is like any other trap, easy enough to get into, but hard enough to get out of.Some debts are fun when you are acquiring them, but none are fun when you set about retiring them.
Wars in old times were made to get slaves. The modern implement of imposing slavery is debt.
TiyariWaziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hadi kufikia March 2024, deni la Serikali lilikuwa shilingi bilioni 91,708.3 (Tsh. trilioni 91.7) ikilinganishwa na shilingi bilioni 77,010.4 (Tsh. trilioni 77.) katika kipindi kama hicho mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 19.1.
Akitoa hotuba ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Bungeni Jijini Dodoma leo June 13,2024, Mkumbo amesema “deni la ndani lilikuwa shilingi bilioni 30,753.8 na deni la nje lilikuwa shilingi bilioni 60,954.5”
Itakumbukwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, wakati akiwasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma March 28,2024 moja ya aliyoyazungumzia ni deni la Serikali ambapo alisema hadi kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa Tsh. trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh.trilioni 71.31 kwa mwaka 2021/2022, deni hilo lilijumuisha deni la ndani Tsh. trilioni 28.92 na deni la nje Tsh. trilioni 53.32”
QuadilionLikishafika trillion mia inafuata namba gani? Inatamkwaje ULLION(YULIONI)
Hata mimi nimeshangaaMaswala yanayotakiwa kuelezewa na waziri wa fedha yanaongelewa na waziri wa mipango.
Mkopaji waziri, debt management office ipo ndani ya wizara ya fedha, BoT ipo chini ya wizara ya fedha, wataalamu wa fedha wapo wizara ya fedha, banks zipo chini ya fedha, tarakimu za uchumi zinakusanywa na waziri wa fedha.
Nchi haiwezi kuuzwaZambia waulize
Umesema ukweli kabisa!Mikopo yenyewe wala hatuoni ufanisi wake, labda kujaza mitumbo yao tuu!.
ISSUE SIO UKUBWA WA DENI ILA NI APPLICABILITY YA AYO MADENI YANAYOKOPWA TUONGEENI UKWELI MTAANI HALI INAZIDI KUWA NGUMU PESA HAIONEKANI ILA WATU WACHACHE WANAJENGA MAJUMBA YA KIFAHARI NA KUNUNU MAGARI MAPYA YA BEI KUBWA!Nchi yetu hata haiko kwenye list ya nchi 30 zenye madeni makubwa Africa
Kwa hiyo watanzania wa mitandaoni punguzeni midomo mirefu, lazima nchi ikope ili tufanye shughuli za kimaendeleo kwa ufanisi
CCM mbele kwa mbele!Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hadi kufikia March 2024, deni la Serikali lilikuwa shilingi bilioni 91,708.3 (Tsh. trilioni 91.7) ikilinganishwa na shilingi bilioni 77,010.4 (Tsh. trilioni 77.) katika kipindi kama hicho mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 19.1.
Akitoa hotuba ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Bungeni Jijini Dodoma leo June 13,2024, Mkumbo amesema “deni la ndani lilikuwa shilingi bilioni 30,753.8 na deni la nje lilikuwa shilingi bilioni 60,954.5”
Itakumbukwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, wakati akiwasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma March 28,2024 moja ya aliyoyazungumzia ni deni la Serikali ambapo alisema hadi kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa Tsh. trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh.trilioni 71.31 kwa mwaka 2021/2022, deni hilo lilijumuisha deni la ndani Tsh. trilioni 28.92 na deni la nje Tsh. trilioni 53.32”
Sisi tunakopesheka ni matajiri hutagongewa mlango kwako udaiwe.Watakwambia deni ni stahimilivu.
Sanaaajenerali alitukosea sana 2021
Mambo ya madeni haya...Wacha ujinga wako.Ukubwa wa deni unaendana na Ukubwa wa Uchumi.
View: https://www.instagram.com/reel/C8JqLrKsUNI/?igsh=cGlic3Q0cnc0NmJu
Deni la Japan,Marekani,Angola,Kenya nk ni kubwa kushinda Chumi zao,wameuzwa na nani?
Mwisho ila nyumbu mnachekesha ,nyie si Huwa mnasema Serikali imepika takwimu Kwa hiyo hizi za deni mnaziamini 😂😂