Deni la Taifa la Marekani

Deni la Taifa la Marekani

Unafikiri nchi inafuata fasheni!?..likitokea ulaya nasi tufanye!?

Kweli haifati fashion, ndio maana viongozi wako wanatembelea Maguta na Baskeli za mbao na sio V8 na Maprado

Na ndio maana tunafunga treni ya umeme hatucopy ulaya, tunacopy kijijini kwenu
 
Kweli haifati fashion, ndio maana viongozi wako wanatembelea Maguta na Baskeli za mbao na sio V8 na Maprado

Na ndio maana tunafunga treni ya umeme hatucopy ulaya, tunacopy kijijini kwenu
Tunachukua kile kinachoendana na mahitaji yetu,tuchukue umeme wa nyuklia wakati tuna nyerere dam na hatumalizi hata umeme tunazalisha Sasa hv,na bado tuna potential ya umeme safi wa upepo
 
Tunachukua kile kinachoendana na mahitaji yetu,tuchukue umeme wa nyuklia wakati tuna nyerere dam na hatumalizi hata umeme tunazalisha Sasa hv,na bado tuna potential ya umeme safi wa upepo

Umeme ulionao sasa hivi uko wapi? Si tumetoka kwenye mgao juzi Tu?
 
wanakopa kw akufanyia vitu muhimu, sisi tunakopa ili tugawane
 
Barabara miaka 30? mikopo mingapi mikubwa ya barabara? Au tunataka kujenga Africa mzima?

Kama ni hivyo basi mpaka tunafika miaka ya Uhuru kama ya marekani still tutakuwa tunajenga barabara
Mkuu,nimeelewa hoja yako,shida hii nchi yetu haina vipaumbele.Mfano kwenye kilimo mpake sasa tunategemea mvua ya mwenyezi MUNGU,wakati nilipitaga kama sikosei MBARALI,kuna mashamba ya mwekezaji hategemei mvua
 
Mkuu,nimeelewa hoja yako,shida hii nchi yetu haina vipaumbele.Mfano kwenye kilimo mpake sasa tunategemea mvua ya mwenyezi MUNGU,wakati nilipitaga kama sikosei MBAR

Absolutely
 
Muelewe Kitu kikubwa kimoja, Marekani haitalipa deni hilo. Lakini, Tanzania lazima ilipe deni lake. Kwa hiyo, mnapojadili jambo hili mzingatie hilo .
 
Sisi madeni makubwa na yanayokopewa ni Yale yale miaka yote ndio shida

Mkopo wa madarasa since awamu ya 4

Mkopo wa barabara since jk

Mkopo wa Afya since jk

Sasa hao US uwez kukuta miaka yote wanakopa Kwa ajili ya Miundombinu na elimu Tu

Kukopa sio ishu, ishu ni mkopo unafanyia nn?
Miundombinu sio shida sana Kwa marekani
 
Kuwa na madeni ya mikopo ni jambo la kawaida sana kwa maendeleo ya mwananchi au taifa lo lote hapa duniani. Msikilize hapa seneta wa USA anavyoelezea ukubwa wa deni la mikopo ya taifa hilo kubwa ulimwenguni.


Linganisha deni walilikonalo dhidi ya gdp yao kisha linganisha leo na gdp yetu.
Ni sawa na kufikiri masikini kidaiwa milion 10 ana afadhali au ni sawa na Mo kudaiwa bilion 2
 
Back
Top Bottom