Deni la Taifa litaanza kulipwa Lini?

MPadmire

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
3,957
Reaction score
3,245
Wachumi waje kusaidia kujibu hapa

Deni la taifa litaanza kulipwa lini? Je, nchi inaruhusiwa kuendelea kukopa mpaka lini?
 
Peleka jukwaa la siasa , mada yako haina uhusiano na biashara( wachumi)
 
Nataka nilipe share yangu katika Deni la Taifa nisidaiwe tena
 
Nataka nilipe share yangu katika Deni la Taifa nisidaiwe tena
Mkuu,

Share yako ni just averaged!!

Tuseme mfano watu watano mkidaiwa Tshs 1,000/- ni sawa na kusema kila mmoja anadaiwa Tshs 200/-.

Sasa wewe ukilipa hiyo Tshs 200/- Haina maana wale wanne waliobaki ndio wadaiwe nao Tshs 200/-, Bali nyinyi watano wote mtaendelea kudaiwa Tshs 800/- ila sasa kwa kila mmoja mtadaiwa Tshs 800 ÷ 5 = Tshs 160/-.

Kwa hiyo we lipa tu, ila huchomoki hapa!!
 
Ndio mwalimu wako alivyokufundisha 800/5 =(160,000)

 
Ndio mwalimu wako alivyokufundisha 800/5 =(160,000)
Wahasibu tunapenda kutaja figures kubwa kwa kukata sifuri tatu, but final answer ndio tunaandikaga correct!!

Otherwise point umeielewa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…