Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,Nataka nilipe share yangu katika Deni la Taifa nisidaiwe tena
Mkuu,
Share yako ni just averaged!!
Tuseme mfano watu watano mkidaiwa Tshs 1,000/- ni sawa na kusema kila mmoja anadaiwa Tshs 200/-.
Sasa wewe ukilipa hiyo Tshs 200/- Haina maana wale wanne waliobaki ndio wadaiwe nao Tshs 200/-, Bali nyinyi watano wote mtaendelea kudaiwa Tshs 800/- ila sasa kwa kila mmoja mtadaiwa Tshs 800 ÷ 5 = Tshs 160,000/-.
Kwa hiyo we lipa tu, ila huchomoki hapa!!
Wahasibu tunapenda kutaja figures kubwa kwa kukata sifuri tatu, but final answer ndio tunaandikaga correct!!Ndio mwalimu wako alivyokufundisha 800/5 =(160,000)