Deni la Taifa na ukoloni mpya: Namuunga mkono Rais Samia lakini si chawa

Deni la Taifa na ukoloni mpya: Namuunga mkono Rais Samia lakini si chawa

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594



Namuunga mkono mama Samia katika kufungua uchumi na kuingiza mitaji ya kibiashara pzmoja na kuruhusu uwekezaji kutoka nje na ndani ya nchi.
Lakini mimi si chawa, na kila hatua mbele lazama iwe na tafskuri ya mustakabali wa yale watanzania tunayotegemea miska ya mbeleni.

Wazungu, waarabu si wajomba zetu. Hawamjui Asumani , Ashura wala Kulwa wa mitaani na mikoani.
Muwekezaji anaweka hela yske ili imzalishie kwa faida kubwa, full stop.

Kuna uwekezaji ambao utalifanya Taifa kuingia katika National Bondage- Ukoloni wa kiuchumi.
Nimeweka scenario hizi mbili juu ya mikopo tunayoichukua na uwekezaji tunaoupata.

Tuchukue tahadhari.
 
Uwekezaji kutoka nje si ndio hao unaowakataa
Hebu fanyeni haraka mtupe Hadhi maalum maana mmeimba sana au wamejisahaulisha
 
Huyo jamaa wa kwanza anasema tumegawa port kwa Adani sawa na bure.

Ina maana una unga mkono huu utaratibu wa sandakalewe kwenye rasilimali za Tanzania.

Ukishagawa rasimali karibu na bure na wewe heavily indebted uoni kama unagawa hiyo income ya kulipa madeni kwa mwekezaji.

Huyo mama sasa hivi anatakiwa kupigwa stop kuingia mikataba ya rasilimali za nchi, ameshagawa vya kutosha. Na kumuwekea wakati mgumu sana legally mwenye akili timamu akiingia madarakani akitaka kurekebisha hiyo mikataba ya hovyo anayoingia.
 
Je, Haukusikia kwamba mapikipiki yamenunuliwa na kugawiwa kwa "wahusika wote" nchi nzima ya Tz kwa watakaoshiriki katika 'shughuli ya kumcheza mwari' hapo mwakani 2025????
Hayo mapikipiki unathibitisha vipi yamenunuliwa kwa hii mikopo inayokopwa?
 
View attachment 3055204
View attachment 3055209

Namuunga mkono mama Samia katika kufungua uchumi na kuingiza mitaji ya kibiashara pzmoja na kuruhusu uwekezaji kutoka nje na ndani ya nchi.
Lakini mimi si chawa, na kila hatua mbele lazama iwe na tafskuri ya mustakabali wa yale watanzania tunayotegemea miska ya mbeleni.

Wazungu, waarabu si wajomba zetu. Hawamjui Asumani , Ashura wala Kulwa wa mitaani na mikoani.
Muwekezaji anaweka hela yske ili imzalishie kwa faida kubwa, full stop.

Kuna uwekezaji ambao utalifanya Taifa kuingia katika National Bondage- Ukoloni wa kiuchumi.
Nimeweka scenario hizi mbili juu ya mikopo tunayoichukua na uwekezaji tunaoupata.

Tuchukue tahadhari.
Ili Kudhirisha kwamba sasa na wewe umeacha kutumia akili yako kiasi kwamba ninawasiwasi sana na vijana wengi wa upinzani kutafutwa sana na viongozi wa ccm na kupewa chochote kitu ili waisifie ccm na mgombea wao huku akili na mioyo yao ikiwa mbali na kile mnaandika, umeandika hovyo hovyo tu mkuu kwa kukosea kosea

Ukweli ni kwamba, licha ya kuwa tuko nyuma sana sana kimaendeleo kwa nchi yetu, ni mhimu kwa kila tunachotaka kufanya, lazima kitazamwe kwa mapana yake, nini athari za sasa na badaye kabla hatujafanya uamzi wa kubinafisisha, isiwe tu kwamba tunahitaji pesa!


Suala siyo pesa mkuu kutoka kwa wazungu, wakati baadhi ya nchi zikiwa na upungufu wa rasilimali, maana yake huko tuendako iwapo tutaruhusu rasilimali zetu kuwapa wageni kisa tu tunahitaji maendeleo ya haraka, Next yetu tutagawa nini tena ili kuzihitaji hizo pesa unapolinganisha na mabadiriko ya teknorojia inavyozidi kwenda kwa kasi hasa unapolinganisha na uwekezaji wetu utokanao na kile tunawapa wageni ili watupe fedha

Uwekezaji wetu bado hauendani na ukuwaji wa kiuchumi unapolinganisha na miradi yetu tunayowekeza

tunayo mashirika mengi ambayo mpaka leo yanaitegemea serikali kiuendeshaji, wakati huohuo, fedha za kiuendeshaji kwenye mashirika hayo, ndizo hizohizo tunazopewa na tuliowapa rasilimali zetu, Je hauoni kwamba sisi tunachokifanya ni sawa na kuandika ziro halafu ukafuta sifuri!

Utaungaje mambo kama hayo?
 
Ili Kudhirisha kwamba sasa na wewe umeacha kutumia akili yako kiasi kwamba ninawasiwasi sana na vijana wengi wa upinzani kutafutwa sana na viongozi wa ccm na kupewa chochote kitu ili waisifie ccm na mgombea wao huku akili na mioyo yao ikiwa mbali na kile mnaandika, umeandika hovyo hovyo tu mkuu kwa kukosea kosea

Ukweli ni kwamba, licha ya kuwa tuko nyuma sana sana kimaendeleo kwa nchi yetu, ni mhimu kwa kila tunachotaka kufanya, lazima kitazamwe kwa mapana yake, nini athari za sasa na badaye kabla hatujafanya uamzi wa kubinafisisha, isiwe tu kwamba tunahitaji pesa!


Suala siyo pesa mkuu kutoka kwa wazungu, wakati baadhi ya nchi zikiwa na upungufu wa rasilimali, maana yake huko tuendako iwapo tutaruhusu rasilimali zetu kuwapa wageni kisa tu tunahitaji maendeleo ya haraka, Next yetu tutagawa nini tena ili kuzihitaji hizo pesa unapolinganisha na mabadiriko ya teknorojia inavyozidi kwenda kwa kasi hasa unapolinganisha na uwekezaji wetu utokanao na kile tunawapa wageni ili watupe fedha

Uwekezaji wetu bado hauendani na ukuwaji wa kiuchumi unapolinganisha na miradi yetu tunayowekeza

tunayo mashirika mengi ambayo mpaka leo yanaitegemea serikali kiuendeshaji, wakati huohuo, fedha za kiuendeshaji kwenye mashirika hayo, ndizo hizohizo tunazopewa na tuliowapa rasilimali zetu, Je hauoni kwamba sisi tunachokifanya ni sawa na kuandika ziro halafu ukafuta sifuri!

Utaungaje mambo kama hayo?
Wewe ni mmoja wa watu tunaita wajinga waliosoma na hawaelewi kile wanachofikiri kinawafaa.
Kama huwezi kuchanganua umuhimu wa mitaji kwa miradi ya serikali na binafsi basi wewe pata hela ya ugali tu, ule na ulale.
 
Tekonolojia inauzwa na ikibidi tunanunua,suala la mikopo ya kipuuzi halikubaliki hata kidogo
Safi kabisa, wakati mwingine serikali inachukua mikopo, hata kupitia World Bank, mikopo ambayo haina manufaa.
 
View attachment 3055204
View attachment 3055209

Namuunga mkono mama Samia katika kufungua uchumi na kuingiza mitaji ya kibiashara pzmoja na kuruhusu uwekezaji kutoka nje na ndani ya nchi.
Lakini mimi si chawa, na kila hatua mbele lazama iwe na tafskuri ya mustakabali wa yale watanzania tunayotegemea miska ya mbeleni.

Wazungu, waarabu si wajomba zetu. Hawamjui Asumani , Ashura wala Kulwa wa mitaani na mikoani.
Muwekezaji anaweka hela yske ili imzalishie kwa faida kubwa, full stop.

Kuna uwekezaji ambao utalifanya Taifa kuingia katika National Bondage- Ukoloni wa kiuchumi.
Nimeweka scenario hizi mbili juu ya mikopo tunayoichukua na uwekezaji tunaoupata.

Tuchukue tahadhari.
Tupate dira ya kitaifa juu ya mikopo hiyo na madeni.
 
Back
Top Bottom