Deni la Taifa si stahimilivu kama CCM na wadau wake wanavyodai

Deni la Taifa si stahimilivu kama CCM na wadau wake wanavyodai

markp

Senior Member
Joined
Sep 26, 2013
Posts
194
Reaction score
327
Deni la taifa limekuwa wimbo mpya hasa kwa ccm wenyewe na sasa sisi wapinzani wacha tuimbe chorus maana bila chorus nyimbo huwa hainogi.

Deni limefikia trilion 82 wakati watanzania kwa makadirio ya haraka ni milion 60. Ukipiga hesabu za haraka utagundua kila mtanzania anadaiwa trilion 1.3 na ushee.

Hivi kwa uzalishaji gani hasa wa pato la taifa tunaweza hata tu kupunguza hili deni.? LABDA MI SINA IMANI ILA KWA KUANGALIA TU HAIWEZEKANI KUPUNGUZA ILA KUZIDISHA DENI INAWEZEKANA KWA 100%

Juzi tbc 1 wamejidai kumwita mchambuzi wa maswala ya uchumi aelezee, jambo la ajabu anaulizwa maswali ya marekani na japani, badala ya kusema tunadaiwa sh ngapi na pato letu ngapi ili aweke uwiano tujue tulipo yeye ana justfy kosa kwa kosa au udhaifu kwa uongo wa udhaifu. Kuwa hata marekani na japan zinadaiwa ela nyingi. Ni kweli wanadaiwa ela nyingi ila pato lao hamkulitaja na misaada wanayotoa na mikopo wanayotoa hamkuitaja.

Tanzania tunakopa na tunazidi kukopa lakini kapato chetu kanatia huruma.

Wanasema mficha maradhi kifo humuumbua ccm endeleeni kuficha maradhi na kukataa mawazo ya wataalamu pamoja na wapinzani ila mjue kuwa kila mtanzania atateseka kwasababu ya hayo madeni awe tajiri au masikini.

MUDA SI MREFU CCM WENYEWE KWA WENYEWE WATATEKANA NA KUUANA KULIKO INAVYODHANIWA.

NA WEWE CHIEF WA WASUKUMA MUNGU ANAKUPA ISHARA JIREKEBISHE LA SIVYO UTAKATALIWA HATA NA SISIMIZI
 
Deni la taifa limekuwa wimbo mpya hasa kwa ccm wenyewe na sasa sisi wapinzani wacha tuimbe chorus maana bila chorus nyimbo huwa hainogi.

Deni limefikia trilion 82 wakati watanzania kwa makadirio ya haraka ni milion 60. Ukipiga hesabu za haraka utagundua kila mtanzania anadaiwa trilion 1.3 na ushee.
Hivi kwa uzalishaji gani hasa wa pato la taifa tunaweza hata tu kupunguza hili deni.? LABDA MI SINA IMANI ILA KWA KUANGALIA TU HAIWEZEKANI KUPUNGUZA ILA KUZIDISHA DENI INAWEZEKANA KWA 100%

Juzi tbc 1 wamejidai kumwita mchambuzi wa maswala ya uchumi aelezee, jambo la ajabu anaulizwa maswali ya marekani na japani, badala ya kusema tunadaiwa sh ngapi na pato letu ngapi ili aweke uwiano tujue tulipo yeye ana justfy kosa kwa kosa au udhaifu kwa uongo wa udhaifu. Kuwa hata marekani na japan zinadaiwa ela nyingi. Ni kweli wanadaiwa ela nyingi ila pato lao hamkulitaja na misaada wanayotoa na mikopo wanayotoa hamkuitaja.

Tanzania tunakopa na tunazidi kukopa lakini kapato chetu kanatia huruma.

Wanasema mficha maradhi kifo humuumbua ccm endeleeni kuficha maradhi na kukataa mawazo ya wataalamu pamoja na wapinzani ila mjue kuwa kila mtanzania atateseka kwasababu ya hayo madeni awe tajiri au masikini.

MUDA SI MREFU CCM WENYEWE KWA WENYEWE WATATEKANA NA KUUANA KULIKO INAVYODHANIWA.

NA WEWE CHIEF WA WASUKUMA MUNGU ANAKUPA ISHARA JIREKEBISHE LA SIVYO UTAKATALIWA HATA NA SISIMIZI
Ngoja tuone
 
Deni la taifa limekuwa wimbo mpya hasa kwa ccm wenyewe na sasa sisi wapinzani wacha tuimbe chorus maana bila chorus nyimbo huwa hainogi.

Deni limefikia trilion 82 wakati watanzania kwa makadirio ya haraka ni milion 60. Ukipiga hesabu za haraka utagundua kila mtanzania anadaiwa trilion 1.3 na ushee.
Hivi kwa uzalishaji gani hasa wa pato la taifa tunaweza hata tu kupunguza hili deni.? LABDA MI SINA IMANI ILA KWA KUANGALIA TU HAIWEZEKANI KUPUNGUZA ILA KUZIDISHA DENI INAWEZEKANA KWA 100%

Juzi tbc 1 wamejidai kumwita mchambuzi wa maswala ya uchumi aelezee, jambo la ajabu anaulizwa maswali ya marekani na japani, badala ya kusema tunadaiwa sh ngapi na pato letu ngapi ili aweke uwiano tujue tulipo yeye ana justfy kosa kwa kosa au udhaifu kwa uongo wa udhaifu. Kuwa hata marekani na japan zinadaiwa ela nyingi. Ni kweli wanadaiwa ela nyingi ila pato lao hamkulitaja na misaada wanayotoa na mikopo wanayotoa hamkuitaja.

Tanzania tunakopa na tunazidi kukopa lakini kapato chetu kanatia huruma.

Wanasema mficha maradhi kifo humuumbua ccm endeleeni kuficha maradhi na kukataa mawazo ya wataalamu pamoja na wapinzani ila mjue kuwa kila mtanzania atateseka kwasababu ya hayo madeni awe tajiri au masikini.

MUDA SI MREFU CCM WENYEWE KWA WENYEWE WATATEKANA NA KUUANA KULIKO INAVYODHANIWA.

NA WEWE CHIEF WA WASUKUMA MUNGU ANAKUPA ISHARA JIREKEBISHE LA SIVYO UTAKATALIWA HATA NA SISIMIZI
Wewe hujui kitu tulia uelezwe.

Haya soma hapa 👇

Screenshot_20211231-123929.png


Screenshot_20211231-123956.png


Screenshot_20211231-123800.png


Screenshot_20211231-123736.png


Screenshot_20211231-123717.png


Screenshot_20211231-123623.png
 
Kila mtanzania anadaiwa

(Deni limefikia trilion 82 wakati watanzania kwa makadirio ya haraka ni milion 60. Ukipiga hesabu za haraka utagundua kila mtanzania anadaiwa trilion 1.3 na ushee.)
 
Kila mtanzania anadaiwa

(Deni limefikia trilion 82 wakati watanzania kwa makadirio ya haraka ni milion 60. Ukipiga hesabu za haraka utagundua kila mtanzania anadaiwa trilion 1.3 na ushee.)
Nilipofika hapa nikaona hii chai, hesabu y uongo kabisa 😂😂😂😂
 
Kila mtanzania anadaiwa

(Deni limefikia trilion 82 wakati watanzania kwa makadirio ya haraka ni milion 60. Ukipiga hesabu za haraka utagundua kila mtanzania anadaiwa trilion 1.3 na ushee.)
😂😂😂😂saw mkuu
 
Deni la taifa limekuwa wimbo mpya hasa kwa ccm wenyewe na sasa sisi wapinzani wacha tuimbe chorus maana bila chorus nyimbo huwa hainogi.

Deni limefikia trilion 82 wakati watanzania kwa makadirio ya haraka ni milion 60. Ukipiga hesabu za haraka utagundua kila mtanzania anadaiwa trilion 1.3 na ushee.
Hivi kwa uzalishaji gani hasa wa pato la taifa tunaweza hata tu kupunguza hili deni.? LABDA MI SINA IMANI ILA KWA KUANGALIA TU HAIWEZEKANI KUPUNGUZA ILA KUZIDISHA DENI INAWEZEKANA KWA 100%

Juzi tbc 1 wamejidai kumwita mchambuzi wa maswala ya uchumi aelezee, jambo la ajabu anaulizwa maswali ya marekani na japani, badala ya kusema tunadaiwa sh ngapi na pato letu ngapi ili aweke uwiano tujue tulipo yeye ana justfy kosa kwa kosa au udhaifu kwa uongo wa udhaifu. Kuwa hata marekani na japan zinadaiwa ela nyingi. Ni kweli wanadaiwa ela nyingi ila pato lao hamkulitaja na misaada wanayotoa na mikopo wanayotoa hamkuitaja.

Tanzania tunakopa na tunazidi kukopa lakini kapato chetu kanatia huruma.

Wanasema mficha maradhi kifo humuumbua ccm endeleeni kuficha maradhi na kukataa mawazo ya wataalamu pamoja na wapinzani ila mjue kuwa kila mtanzania atateseka kwasababu ya hayo madeni awe tajiri au masikini.

MUDA SI MREFU CCM WENYEWE KWA WENYEWE WATATEKANA NA KUUANA KULIKO INAVYODHANIWA.

NA WEWE CHIEF WA WASUKUMA MUNGU ANAKUPA ISHARA JIREKEBISHE LA SIVYO UTAKATALIWA HATA NA SISIMIZI
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Daah nmecheka hapo pa kila mtanzania anadaiwa 1.3trillion daah mkuu kama mambo ya uchumi na hesabu hujui bora ukae tu kimya...... Deni la Taifa bado ni vumilivi Sana yani Sana ukisoma kwene report ya BOT na Bank ya Africa Tanzania bado hata hatujafikia kiwango kikubwa cha Kati cha ukopwaji... Swala ni serikali ipambane iwe inapata mikopo nafuu na waachane au kupunguza kuchukua mikopo ya biashara.... Wengi wanao jarbu kuongea hawajasoma economics yani unabaki tu kucheka
 
Deni la taifa limekuwa wimbo mpya hasa kwa ccm wenyewe na sasa sisi wapinzani wacha tuimbe chorus maana bila chorus nyimbo huwa hainogi.

Deni limefikia trilion 82 wakati watanzania kwa makadirio ya haraka ni milion 60. Ukipiga hesabu za haraka utagundua kila mtanzania anadaiwa trilion 1.3 na ushee.
Hivi kwa uzalishaji gani hasa wa pato la taifa tunaweza hata tu kupunguza hili deni.? LABDA MI SINA IMANI ILA KWA KUANGALIA TU HAIWEZEKANI KUPUNGUZA ILA KUZIDISHA DENI INAWEZEKANA KWA 100%

Juzi tbc 1 wamejidai kumwita mchambuzi wa maswala ya uchumi aelezee, jambo la ajabu anaulizwa maswali ya marekani na japani, badala ya kusema tunadaiwa sh ngapi na pato letu ngapi ili aweke uwiano tujue tulipo yeye ana justfy kosa kwa kosa au udhaifu kwa uongo wa udhaifu. Kuwa hata marekani na japan zinadaiwa ela nyingi. Ni kweli wanadaiwa ela nyingi ila pato lao hamkulitaja na misaada wanayotoa na mikopo wanayotoa hamkuitaja.

Tanzania tunakopa na tunazidi kukopa lakini kapato chetu kanatia huruma.

Wanasema mficha maradhi kifo humuumbua ccm endeleeni kuficha maradhi na kukataa mawazo ya wataalamu pamoja na wapinzani ila mjue kuwa kila mtanzania atateseka kwasababu ya hayo madeni awe tajiri au masikini.

MUDA SI MREFU CCM WENYEWE KWA WENYEWE WATATEKANA NA KUUANA KULIKO INAVYODHANIWA.

NA WEWE CHIEF WA WASUKUMA MUNGU ANAKUPA ISHARA JIREKEBISHE LA SIVYO UTAKATALIWA HATA NA SISIMIZI
Namsubiri kwa hamu hotuba ya mheshimiwa Tundu Lissu
 
Back
Top Bottom