Deni la taifa

Nambukwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2009
Posts
243
Reaction score
146
Salamu,

tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu.

Mie ni mwanafunzi nafanya utafiti kuhusu deni la taifa na kuongezeka kwa uchumi . tatizo ninalokutana nalo ni ukosefu wa data.
ombi, nahitaji data za deni la taifa pamoja na nyingine zinazohusiana nazo kama asilimia ya deni la taifa kwa mauzo ya bidhaa za nje.

ukinitumia data nitashukuru, ukinipa link nitashukuru pia.

NB: usinielekeze NBS niko mbali na jiji, na World bank data hawana taarifa ninazohitaji pamoja na Benki kuu ya Tanzania.

Nawatakia kheri katika ujenzi wa taifa.
 
ucjal..dada hapa umefika..ngoja waje..ila 2pia nakule kwenye siasa.na intelgence..utapata pia data zakutocha..
 
ucjal..dada hapa umefika..ngoja waje..ila 2pia nakule kwenye siasa.na intelgence..utapata pia data zakutocha..

Asante, hadi natamani ningeiweka kule siasani maana hukuuu, watu huwa hawapiti sana au ningeanza na Rwanda.....
 
Nambukwa tulia vuta subira wadau watakuja kukusaidia.
 
Last edited by a moderator:
s unfortunate I can not help on this. lakini akipitia taarifa mbalimbali kwenye website ya bunge letu,bot,tra,wizara ya fedha,magazeti n.k anaweza akapata anachokitaka.

asante ndugu , nataka kujua je hizi ni taarifa za siri?? maana zinatolewa nusunusu sana.
 
asante ndugu , nataka kujua je hizi ni taarifa za siri?? maana zinatolewa nusunusu sana.

Hapana, ila zinapikwa sana ndo maana hakuna reliable source au one point with reporting responsibility, taarifa yenyewe consumer wake wakubwa ni wanasiasa so you can imagine how biased it could be.

Mi mwenyewe sielewi why exactly do you need this information, or why should you venture into researching this area?
 
madeni ya taifa pesa nyingi zilitumika kujenga ukumbi wa mikutano chimwaga, ,kujenga ikulu ndogo chamwino,
 
TUKUTUKU can you help here?
Mkuu hekimatele,taarifa za deni la taifa zinapatikana sehemu nne tofauti katika nchi yetu nazo ni Bank of Tanzania (BOT),Wizara fedha [External Finance Department,Policy analysis Department and Public debt Department at Accountant's General Office ].
 
Last edited by a moderator:

My contribution to your research is herewith. Read CAG Reports 2011,2012 and also check this link where you will get Debt-to-GDP then you can extrapolate given GDP![TABLE="width: 218"]
[TR]
[TD="class: xl65, width: 218"]Read more:http://www.gfmag.com/component/content/article/119-economic-data/12370-public-debt-percentage-gdp.html#ixzz2duHMMf1i[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: IMF-World Economic Outlook Report, Oct 2012

That is what I can offer for now.
 
bajeti ya serikali ya kila mwaka huonesha deni la taifa na mwelekeo wa uchumi kwa ujumla..... hivyo kama unahitaji kupata taarifa hizi nakushauri pitia bajeti za nchi kwa mfano hii ni bajeti ya mwaka 2013/14 http://www.mof.go.tz/mofdocs/msemaji/HOTUBA%20YA%20SERIKALI-BAJETI.pdf.................... au waweza pata taarifa zote hapa http://www.mof.go.tz/ ........ gud lucky
 
nimesoma, asante sana !! nahitaji data za miaka mingi zaidi ili nami nifanye analysis yangu, kama miaka thelathini hivi. nataka kuelewa taabu hii ilianzia wapi na lini?

Karibu. Natumai utapata tu. Kuna wadau wengi humu ambao wanapenda tafiti na kusoma ambao wengi ni great thinkers orijinali. Watakurushia tu hata chemba.
 
nimesoma, asante sana !! nahitaji data za miaka mingi zaidi ili nami nifanye analysis yangu, kama miaka thelathini hivi. nataka kuelewa taabu hii ilianzia wapi na lini?

Jaribu kufika na Dar es Salaam Stock Exchange, serikali imeweka treasury bonds pale, nauhakika jamaa waliifanyia credit rating makini kabla ya kukubali kuwafloat.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…