Nambukwa
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 243
- 146
Salamu,
tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu.
Mie ni mwanafunzi nafanya utafiti kuhusu deni la taifa na kuongezeka kwa uchumi . tatizo ninalokutana nalo ni ukosefu wa data.
ombi, nahitaji data za deni la taifa pamoja na nyingine zinazohusiana nazo kama asilimia ya deni la taifa kwa mauzo ya bidhaa za nje.
ukinitumia data nitashukuru, ukinipa link nitashukuru pia.
NB: usinielekeze NBS niko mbali na jiji, na World bank data hawana taarifa ninazohitaji pamoja na Benki kuu ya Tanzania.
Nawatakia kheri katika ujenzi wa taifa.
tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu.
Mie ni mwanafunzi nafanya utafiti kuhusu deni la taifa na kuongezeka kwa uchumi . tatizo ninalokutana nalo ni ukosefu wa data.
ombi, nahitaji data za deni la taifa pamoja na nyingine zinazohusiana nazo kama asilimia ya deni la taifa kwa mauzo ya bidhaa za nje.
ukinitumia data nitashukuru, ukinipa link nitashukuru pia.
NB: usinielekeze NBS niko mbali na jiji, na World bank data hawana taarifa ninazohitaji pamoja na Benki kuu ya Tanzania.
Nawatakia kheri katika ujenzi wa taifa.