Huyu winger alikuwa anasepa na kijiji. Alikuwa winga hatari kwenye kizazi cha dhahabu cha Brazil.
Huku namba 10 akicheza Rovaldo, Mzee ilikuwa hatari. Ilikuwa Brazil kweli kweli.
Nilikuwa sijuagi sub ya huyu jamaa maanake ni nini maana alikuwa anachukua mpira halafu anaelekea kwenye kibendera au mbali pembeni na watu kibao then anawachezesha chezesha.
World Cup ya 2002 ndio alivuma kwa kuwa super sub, anaingia dk za lala salama kwenda kupiga chenga na kupoteza muda hasa wakati timu yake ilipokuwa inaongoza!!