Quran inasemaje?Mathayo 23:9
Wala msimwite mtu yeyote 'Baba' hapa duniani ...
I like you 💪Nyerere anaitwa Baba wa Taifa, sio Baba.
Narudia na nnaongezea Uislam maana nawe umeongeza na Uislam...
Ikiwa maana ya mkristo ni kumfata Yesu alayhi salaam basi Muislam ni Mkristo bora kabisa kuliko yeyote yule.
Muislam anatawadha kama alivyotawadha Yesu alayhi salaam, anaswali kama alivyoswali Yesu alayhi salaam anaamini Mungu mmoja kama wanavyoamini Waislam.
Ushahidi wote ndani ya biblia. Ukipenda anzisha mada.
Unafahamu maana ya neno Uislam?
Nini maana ya neno Uislam?
Nini maana ya neno Ukristo?
Hapa patamu sana.
Yesu alayhi salaam maana yake nini?Umenena vyema kabisa. Kumbe kufundishana bibilia ni "upuuzi"?
Ikiwa maana ya mkristo ni kumfata Yesu alayhi salaam basi Muislam ni Mkristo bora kabisa kuliko yeyote yule.
Muislam anatawadha kama alivyotawadha Yesu alayhi salaam, anaswali kama alivyoswali Yesu alayhi salaam, anaamini Mungu mmoja kama alivyoamini Yesu alayhi salaam.
Ushahidi wote ndani ya biblia. Ukipenda anzisha mada.
Kwa hiyo baba yako unamwita nani au unasubiri ufe ukamwite baba huko aendakoMathayo 23:9
Wala msimwite mtu yeyote 'Baba' hapa duniani ...
Bishana na biblia. Mstari umeuona. Zingine ni ndogo ndogo za hapa na pale.Kinachokatazwa hapo ni lile tendo la kumfanya mtu kuwa tumaini lako yaani huwezi kufanya kitu bila yeye ukipata shida,tatizo au changamoto unakimbilia kwake yaani hata habari ya wokovu wako unategemea yeye badala ya kumtegemea Baba aliye mbinguni hiki ndicho kinachokatazwa hapo maana watu wameenda mbali sana siku hizi wana Baba Mtakatifu (Papa) wana daddy zao mitume kina nabii Bushiri, Mwamposa nk wakiwaona hao ndiyo wamebeba kila kitu chao hawamtazami Mungu wao ni hao viongozi wa kiroho
Lakini hilo fungu au aya haikatazi habari ya kumuita mzazi wako Baba wala Nyerere kuwa Baba wa taifa maana haina athari yoyote
Alayhi salaam = salama/amani i nae.Yesu alayhi salaam maana yake nini?
Naomba niulize swali Muhammad alipata wapi historia zilizokuwa kwenye Biblia mfano mama yake Yesu bikira Maria historia za kale kabisa za kina Ibrahim, Musa n.k?
.
Ina maana Malaika Gabriel alikuja kumfunulia Quran kuanzia kuumbwa kwa dunia, mitume walivyokuja walifanya nini, walikula nini, walikataza nini, waliishi wapi na akamfundisha makosa yaliyoko kwenye Biblia ya Agano Jipya na kumpa sahihi yake?
Uzi huu unahusu wapigania Uhuru wewe kilaza.....,Shindana na biblia. Hata ujitetee vipi huwezi shindana na huu mstari. Kasome "context" nakuwekea tena "reference".
Sikushangai kwani wengi mnaisoma biblia lakini kila mmoja wenu anatafsiri apendavyo. Mkiambiwa msimle nguruwe. Nyie mnasema kiingiacho halali. Hahahahaha, ndiyo maana kule Vatikano kuna 70% ya wanaotumia viingiavyo hata kwenye pakutokea. Si mmehalalisha viingiavyo?
Hatuwashangai kwa kuikana biblia kwa hili la "baba". Mna kila aina ya baba licha ya kukatazwa na biblia.
FaizaFoxy said:
Mathayo 23:9
Wala msimwite mtu yeyote 'Baba' hapa duniani ...
kwa kukujuza tu.
Sisomi Quran mimi kwa sababu hainihusu, jibu maswali yangu moja baada ya jingine hata kwa kutoa vifungu kutoka huko.Alayhi salaam = salama/amani i nae.
Mtume Muhammad Salla Allahu alayhi Wasalaam hajapata popote zaidi ya kuteremshiwa wahyi na Allah, wahyi huo ni Qur'an.
Isome Qur'an utayapata mengi sana ambayo ulikuwa huna yakini nayo: http://www.iium.edu.my/deed/quran/swahili/index.html
Yesu hajapigania uhuru?Uzi huu unahusu wapigania Uhuru wewe kilaza.....,
Hizo habari ulizoleta umezitoa wapi?Sisomi Quran mimi kwa sababu hainihusu, jibu maswali yangu moja baada ya jingine hata kwa kutoa vifungu kutoka huko.
.
Malaika Gabriel alimshushia Quran alafu akampa historia za manabii wote wa kale, akamfundisha walivyokuwa wakiishi, walivyokula, walivyofanya walipokosea alafu akamwambia na bwana mtume kuwa Agano jipya limeongoshwa hapa na pale sahihisha hivi sio?
Wew huwez kuielewa Bible mpaka unakufa,hiyo hiyo Mathayo 6:9 mpaka kumi inasema ,BABA YETU ULIE MBINGUNI ,sasa tuone unaikubal hiyo hii utapinga ,akili fupi bhanaSikushangai. Ungekuwa hauna huo "ujinga" usingebaki ulipo.
Unapewa darsa la "baba" unaleta hoja ya "mtoto".
Shindana na biblia. Hata ujitetee vipi huwezi shindana na huu mstari. Kasome "context" nakuwekea tena "reference".
Sikushangai kwani wengi mnaisoma biblia lakini kila mmoja wenu anatafsiri apendavyo. Mkiambiwa msimle nguruwe. Nyie mnasema kiingiacho halali. Hahahahaha, ndiyo maana kule Vatikano kuna 70% ya wanaotumia viingiavyo hata kwenye pakutokea. Si mmehalalisha viingiavyo?
Hatuwashangai kwa kuikana biblia kwa hili la "baba". Mna kila aina ya baba licha ya kukatazwa na biblia.
FaizaFoxy said:
Mathayo 23:9
Wala msimwite mtu yeyote 'Baba' hapa duniani ...
Wew huwez kuielewa Bible mpaka unakufa,hiyo hiyo Mathayo 6:9 mpaka kumi inasema ,BABA YETU ULIE MBINGUNI ,sasa tuone unaikubal hiyo hii utapinga ,akili fupi bhana
Kwa iyo unakubali Mungu ni BabaWatu wanaongelea duniani wewe unaongelea mbinguni. Hivi unaelewa unachokisoma kweli? Rudia...
FaizaFoxy said:
Mathayo 23:9
Wala msimwite mtu yeyote 'Baba' hapa duniani ...
Mungu wenu anaweza kuwa chochote mkitakacho lakini kumbuka, hakuna Mungu isipokuwa Allah. Allah siyo baba. Allah ni zaidi ya baba.Kwa iyo unakubali Mungu ni Baba
Njinjo,
Ahmed Rashad Ali alikuwa akinambia kuwa mara nyingi alikuwa
akimuomba Abdul Sykes ambae alikuwa rafiki yake toka 1939 hadi
Abdul alipofariki 1968 aeleze mchango wake katika kuasisi TANU
1954.
Abdul alikuwa akimkatalia akimjibu kuwa kuna baadhi ya watu ndani
ya TANU wangependa wao ndiyo wawe watu waliounda chama hicho
yeye asingependa kuingia katika mjadala wa hilo.
Uhuru mwaka wa 1961 ulikuja na changamoto zake.
Baada ya uhuru kulijitokeza juhudi za kushusha hadhi ya TAA kwa
kukiita, ''chama cha starehe.''
Maana ya maneno haya ni kuwa ikiwa TAA ni chama cha starehe basi
hata viongozi wake hawakuwa watu wa maana wa kuandikwa katika
historia ya uhuru wa Tanganyika.
Mimi historia ya TANU ni historia ya wazee wangu na kwa kweli naijua
kukushinda kwani ni historia ya baba zangu na shangazi zangu.
Kama vile Abdul Sykes alivyokaa kimya wakati mwingine huwa naona
sina haja ya kubishana kwa jambo lililo dhahiri.
Kufanya hivi ni moja ya mafunzo katika Uislam.
Ila nitakuambia kitu kimoja.
Katika wasomi wa hapa nyumbani ambao walitaabishwa sana na historia
ya Abdul Sykes, uhusiano wake na Julius Nyerere na kuundwa kwa TANU
ni marehemu Prof. Haroub Othman wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.
Prof. Haroub alizungumza na mimi baada ya kusoma kitabu changu lakini
alikwenda pia kuzungumza na Ahmed Rashad Ali na mwisho na Mwalimu
Nyerere mwenyewe kuhusu historia ya TANU.
View attachment 1186477
Kushoto ni Prof. Haroub Othman, Ahmed Rashad Ali na Shekh Ahmed Islam
Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, 1997
Kwenye maandiko mbalimbali ya Quran yanayosambazwa kwenye mitandao.Hizo habari ulizoleta umezitoa wapi?
Kama ni Boxing,tunaweza kusema umepiga chini ya mkanda!!!.Narudia na nnaongezea Uislam maana nawe umeongeza na Uislam...
Ikiwa maana ya mkristo ni kumfata Yesu alayhi salaam basi Muislam ni Mkristo bora kabisa kuliko yeyote yule.
Muislam anatawadha kama alivyotawadha Yesu alayhi salaam, anaswali kama alivyoswali Yesu alayhi salaam anaamini Mungu mmoja kama wanavyoamini Waislam.
Ushahidi wote ndani ya biblia. Ukipenda anzisha mada.
Unafahamu maana ya neno Uislam?
Nini maana ya neno Uislam?
Nini maana ya neno Ukristo?
Hapa patamu sana.
[emoji28]Huwezi kuongea mengi kwa vile siyo mwislam