Denis Urio, msiri wa Kingai, kwanini hajaletwa kizimbani wakati yeye ndiye source ya kesi ya Ugaidi?

Kabisa, maana sehemu kubwa ya kundi la watu wasiojulikana walikuwa ni wa vyombo vya ulinzi na usalama. Hii ndio iliyopelekea kundi hilo kutokufuatilia na mamlaka husika.
Ni genge hili hili linaweza kujuwa Ben Sanane alipo?

Magufuli alikuwa ni shetani katika sura ya binaadam!

Kila Jumapili yupo kanisani na maigizo yake!
 
Aisee kweli Sirro na SSH waitwe na Mahakama, wasimame kizimbani,
 
Hawezi kwenda mahakamani kutoa ushahidi kwa sababu kesi yenyewe ni ya kutungwa
 
Hawezi kwenda mahakamani kutoa ushahidi kwa sababu kesi yenyewe ni ya kutungwa
Familia ya mahita jina hili limewaletea watz maumivu mengi Sana ikiwemo mauaji pemba,na wengine ni wakimbizi Ulaya,kisa shibe tu halafu msikitini awakosi, maisha yenyewe ya kupita haya.
 
Familia ya mahita jina hili limewaletea watz maumivu mengi Sana ikiwemo mauaji pemba,na wengine ni wakimbizi Ulaya,kisa shibe tu halafu msikitini awakosi, maisha yenyewe ya kupita haya.
Mmh
 
Kama yupi mkuu?
Soma historia.wanachomeka kuzimu saa hizi, maisha yenyewe ya kupita hata ukitesa,ukijilimbikizia kodi za wananchi ni kuukimbiza upepo tu unakufa unaviacha,unasaulika,basi haliwezi simama kwa kukosa dereva,ukifa ni hasara yako na familia yako anamkamata dereva mwingine linaenda
 
Sawa mkuu
 
Ntachukua fursa Hii Kusema njaa ni mbaya Sana ,leo hii majaji wanakosa msimamo sababu ya njaa na vyeo vya kuhaidiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…