Denmark wagundua Dawa ya UKIMWI/HIV/AIDS, Kusambazwa punde, ARV basi

Denmark wagundua Dawa ya UKIMWI/HIV/AIDS, Kusambazwa punde, ARV basi

Ambiente Guru

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
2,605
Reaction score
1,085
Gazeti la The Telegraph la Uingereza 27/04/2013 limeripoti kuwa Dawa ya kutibu Ukimwi itapatikana miezi michache ijayo. Ugunduzi umefanywa na wanasayansi watafiti wa Denmark. Tiba hii itasambazwa kwa kiasi kikubwa na kwa gharama ambayo waathirika na serikali zao wataimudu.

Kwa sasa wako kwenye majaribio ya mwisho. Virus vinavyosababisha UKIMWI vitaweza kuondolewa toka mwilini na kuangamizwa kabisa na kuondokana na kutumia ARV mara kwa mara.

Vyanzo: http://www.telegraph.co.uk/health/healthnews/10022664/Scientists-on-brink-of-HIV-cure.html

Cure for Aids 'possible' says Nobel prize-winning scientist who helped discover HIV - Telegraph[

breakup vvu.jpg


Scientists on brink of HIV cure Researchers believe that there will be a breakthrough in finding a cure for HIV "within months".

With modern HIV treatment if medication is stopped, HIV reservoirs become active and start to produce more of the virus Photo: Alamy

By Jake Wallis Simons
6:30PM BST 27 Apr 2013


Danish scientists are expecting results that will show that "finding a mass-distributable and affordable cure to HIV is possible". They are conducting clinical trials to test a "novel strategy" in which the HIV virus is stripped from human DNA and destroyed permanently by the immune system.

The move would represent a dramatic step forward in the attempt to find a cure for the virus, which causes Aids. The scientists are currently conducting human trials on their treatment, in the hope of proving that it is effective. It has already been found to work in laboratory tests.

The technique involves releasing the HIV virus from "reservoirs" it forms in DNA cells, bringing it to the surface of the cells. Once it comes to the surface, the body's natural immune system can kill the virus through being boosted by a "vaccine".

Related Articles
• HIV sufferers 'effectively cured' after early treatment - study
15 Mar 2013
• Cure for Aids 'possible' says Nobel prize-winner
05 Mar 2013

In vitro studies - those that use human cells in a laboratory - of the new technique proved so successful that in January, the Danish Research Council awarded the team 12 million Danish kroner (£1.5 million) to pursue their findings in clinical trials with human subjects. These are now under way, and according to Dr Søgaard, the early signs are "promising".

Dr Ole Søgaard, a senior researcher at the Aarhus University Hospital in Denmark who is part of the research team, said: "I am almost certain that we will be successful in releasing the reservoirs of HIV.

"The challenge will be getting the patients' immune system to recognise the virus and destroy it. This depends on the strength and sensitivity of individual immune systems."

Fifteen patients are currently taking part in the trials, and if they are found to have successfully been cured of HIV, the "cure" will be tested on a wider scale.

Dr Søgaard stressed that a cure is not the same as a preventative vaccine, and that raising awareness of unsafe behaviour, including unprotected sex and sharing needles, remains of paramount importance in combating HIV. With modern HIV treatment, a patient can live an almost normal life, even into old age, with limited side effects.

However, if medication is stopped, HIV reservoirs become active and start to produce more of the virus, meaning that symptoms can reappear within two weeks.
Finding a cure would free a patient from the need to take continuous HIV medication, and save health services billions of pounds.
 
Gazeti la The Telegraph limeripoti kuwa Dawa ua kutibu Ukimwi itapatikana miezi michache ijayo. Ugunduzi umefamywa na wanasayansi watafiti wa Denmark. Tiba hii itasambazwa kwa kiasi kikubwa na kwa gharama ambayo waathirika na serikali zao wataimudu.
Professor Francoise Barre-Sinouss anasema kwa sasa wako kwenye majaribio ya mwisho. Virus vinavyosababisha UKIMWI vitaweza kuondolewe toka mwilini na kuangamizwa kabisa na kuondokana na kutumia ARV mara kwa mara..
Chanzo:
Cure for Aids 'possible' says Nobel prize-winning scientist who helped discover HIV - Telegraph


jui!kama ni ukweli ashukuliwe sana mungu wetu!
 
Maelezo hayajafafanua ni lini ila yamesema ni ndani ya miaka minne. Cha msingi ni kuchukua hatua ziwezekanazo kwa sasa. Heri kinga,kuliko tiba.
 
Gazeti la The Telegraph limeripoti kuwa Dawa ua kutibu Ukimwi itapatikana miezi michache ijayo. Ugunduzi umefamywa na wanasayansi watafiti wa Denmark. Tiba hii itasambazwa kwa kiasi kikubwa na kwa gharama ambayo waathirika na serikali zao wataimudu.
Professor Francoise Barre-Sinouss anasema kwa sasa wako kwenye majaribio ya mwisho. Virus vinavyosababisha UKIMWI vitaweza kuondolewe toka mwilini na kuangamizwa kabisa na kuondokana na kutumia ARV mara kwa mara..
Chanzo:
Cure for Aids 'possible' says Nobel prize-winning scientist who helped discover HIV - Telegraph


Wapi wameandika "miezi michache ijayo"?
 
Wako kwenye mchakato lakin hawajawa na uhakika wa dawa hyo kutibu HIV!
 
ikipatikana hakika wazinzi wataandamana kushangilia sipati picha machangu watakavyofurahia maana wale wateja wanaopenda kununua ila wanaogopa ngoma sasa watajitosa,ila pia wapo ambao vibarua vitaota nyasi,maana kwa gonjwa hili watu kibao wamelamba ajira kupitia ngo.
 
wanatamani waafrica tupungue'itachukua muda mrefu sana
 
Naona umetia chumvi hiyo habari...... Kwa kifupi habari ni:
Danish scientists are expecting results that will show that "finding a mass-distributable and affordable cure to HIV is possible".
Ni sio kama wewe ulivyoandika kwenye heading yako.
 
Maelezo hayajafafanua ni lini ila yamesema ni ndani ya miaka minne. Cha msingi ni kuchukua hatua ziwezekanazo kwa sasa. Heri kinga,kuliko tiba.
Scientists on brink of HIV cure
Researchers believe that there will be a breakthrough in finding a cure for HIV "within months".
 
Naona umetia chumvi hiyo habari...... Kwa kifupi habari ni:
Danish scientists are expecting results that will show that "finding a mass-distributable and affordable cure to HIV is possible".
Ni sio kama wewe ulivyoandika kwenye heading yako.
Scientists on brink of HIV cure
Researchers believe that there will be a breakthrough in finding a cure for HIV "within months".
 
Tumewazoea hawa Wazungu! Hawana nia nzuri na Waafrika hata kidogo,, tangazo kama hili, si mara yao ya kwanza!!
 
dawa ilishapatikana ni kung'atwa na nyuki mwili mzima ile sumu yao inauwezo wa kuvidhoofisha na kuviua vijidudu vya ukimwi

hivyo wazinzi mjipange kukutana na mizinga ili mpone
 
My friend, Tatizo la lugha limekukumba... Kichwa cha habari hakiendani na kilichoandikwa. Usikurupuke!
 
washenzi sana hawa, walikua wanatengeneza soko, sasa kuna wagonjwa wengi wa kununua dawa wanadai wamegundua,
 
duu kazi imekwisha sijui itafika mbali mpaka bongo..
 
Back
Top Bottom